Natafuta mtu mwenye geto kali Mwanza awe ananiazima

Mimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!

Nitakua nampooza ya maji!!


NB: Wenye ushauri wa uende lodge/hotel siwataki
Ghetto lipo, na nitakuwa nakuachia for free. Ila tukubaliane, ukija na demu wako, nitakuwa naanza kumgonga Mimi.
 
Mungu naomba utusaidie Watanzania, kama kuna laana inatutafuna tuokoe tu
Aliyeturoga ni nani sijui!
watanzania na nani??
umeqcha kuwaombea ndugu zako unaombea watanzania. Bro jishikilie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…