hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 539
Sawa sawa maana naamini tukiwa wengi tunawezaunda group la watsap kabisaUsijali amini utawapata tu.
Sawa mkuu fanya kunidm namba yakoI will be there, make sure you create whatsup group....
Mkuu hii tunasaidiana wote hakuna anayefaidika kimaslahi yeyoteNipo ila posho kwanza
Nimesema ikipendeza sio lazimaUko shuleni mlienda kusomea ujinga????
kwamba mtu kufika chuo kikuu ndio anajua kingereza
Niko hapa turiosomea ujinga.Uko shuleni mlienda kusomea ujinga????
kwamba mtu kufika chuo kikuu ndio anajua kingereza
😂😂, Dah, kijana umeenda direct kwenye pointNipo ila posho kwanza
We unirushiage mate tu usinitoe hata jero la fegi hujui ukiongea kimombo mate mengi yanarukaMkuu hii tunasaidiana wote hakuna anayefaidika kimaslahi yeyote
Means of conversation ni kukutana physically au kwa social platforms i.e whatsapp?Habari WanaJamiiForums,
Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa lugha ya kingereza.
Ningefurahi zaidi kupata waliofika hatua ya chuo kikuu kama mimi ili sote tujifunze kwa kila mmoja.
Ahsanteni yeyote mwenye kupendezwa na hili zoezi naomba unidm
Kuna app nimeisahau jina lakini wapo watu wa mataifa tofauti duniani mnaongea English tu huko. Wahindi wapo wengi sana huko, stahmili na lafudhi tu huko🤣🤣Habari WanaJamiiForums,
Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa lugha ya kingereza.
Ningefurahi zaidi kupata waliofika hatua ya chuo kikuu kama mimi ili sote tujifunze kwa kila mmoja.
Ahsanteni yeyote mwenye kupendezwa na hili zoezi naomba unidm
Yeah I have welcome you in teaching English language both you, I operating a English course and I'm the teacher.Habari WanaJamiiForums,
Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa lugha ya kingereza.
Ningefurahi zaidi kupata waliofika hatua ya chuo kikuu kama mimi ili sote tujifunze kwa kila mmoja.
Ahsanteni yeyote mwenye kupendezwa na hili zoezi naomba unidm