Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry, did you just say you are an English teacher seriously?Ok welcome my friend. I am a teacher at Kizozo secondary school in Sumbawanga. I teaching english in this school. I like to talked english. My pupils and teachers at this school didn't like to talking english.
So welcome my friend.
Nicheki dmUnapatikana wapi...nije physically
🤣🤣🤣🤣Habari WanaJamiiForums,
Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa lugha ya kingereza.
Ningefurahi zaidi kupata waliofika hatua ya chuo kikuu kama mimi ili sote tujifunze kwa kila mmoja.
Ahsanteni yeyote mwenye kupendezwa na hili zoezi naomba unidm
Me mwenyew thijuwi itakuaje chief🤣🤣🤣🤣
Kwa cc tulioishia lasaba hututak?Habari WanaJamiiForums,
Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa lugha ya kingereza.
Ningefurahi zaidi kupata waliofika hatua ya chuo kikuu kama mimi ili sote tujifunze kwa kila mmoja.
Ahsanteni yeyote mwenye kupendezwa na hili zoezi naomba unidm
Unataka waliofika level ya chuo kipi mkuu?Habari WanaJamiiForums,
Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa lugha ya kingereza.
Ningefurahi zaidi kupata waliofika hatua ya chuo kikuu kama mimi ili sote tujifunze kwa kila mmoja.
Ahsanteni yeyote mwenye kupendezwa na hili zoezi naomba unidm
eehh, which is talking?Cut him some slack, man 😅
nipo hapa pia jamani tnasaidiana vipi kujua hicho kiingerezaI'm in
Kumbe inabidi nikaweke goli langu pale UDSM la CD za Djmark naona ntapiga ela🤣🤣🤣 chiefUnataka waliofika level ya chuo kipi mkuu?
Maana kuna chuo cha ufundi cherehani hapa mtaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]au unataka wale degree holders wa vyyo vya mchongo kama Ushirika Moshi na Udom?
Ambao ndo huwa wateja wazuri wa movie za dj Mark (Acheche productions) kwenye laptop zao wamejaza movie zilizotafsiriwa na mkalimani wa taifa (Dj mark) yaani ukiwapa movie ya kiingereza ambayo haijatafsiriwa hawawezi kuangalia maana hawaelewi maudhui yaliyomo!
Kuna link ya group imetumwa , join hukonipo hapa pia jamani tnasaidiana vipi kujua hicho kiingereza
Linahusu niniKuna link ya group imetumwa , join huko
Wakati unatafuta wa kufsnya nae mazoezi, weka utaratibu wa kusoma vitabu vya kiingereza, sikiliza tv channel za kiingereza, kama Al Jazeera na CNN,Habari WanaJamiiForums,
Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa lugha ya kingereza.
Ningefurahi zaidi kupata waliofika hatua ya chuo kikuu kama mimi ili sote tujifunze kwa kila mmoja.
Ahsanteni yeyote mwenye kupendezwa na hili zoezi naomba unidm
Kule kingereza Chao sio poa hata wako faster😂Wakati unatafuta wa kufsnya nae mazoezi, weka utaratibu wa kusoma vitabu vya kiingereza, sikiliza tv channel za kiingereza, kama Al Jazeera na CNN,