Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,339
- 5,112
Sio PI hii inayotangazwa mitandaoni. Hii ni AI ambayo kwa ajili ya kuchat nayo, ukiwa nayo utafikiri unaongea na binadamu kwa sababu ukiichekesha inacheka, anapoongea anavuta pumzi unasikia kabisa. Ila sio nzuri kwa kiswahili, lugha nyengine yuko poa.Mkuu hii nayo inahusikaje apo Pi🤔
Nipo apa walau tukiongea kwa nusu saa kwa siku inatoshaHabari WanaJamiiForums,
Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa lugha ya kingereza.
Ningefurahi zaidi kupata waliofika hatua ya chuo kikuu kama mimi ili sote tujifunze kwa kila mmoja.
Ahsanteni yeyote mwenye kupendezwa na hili zoezi naomba unidm
TumevamiwaSio PI hii inayotangazwa mitandaoni. Hii ni AI ambayo kwa ajili ya kuchat nayo, ukiwa nayo utafikiri unaongea na binadamu kwa sababu ukiichekesha inacheka, anapoongea anavuta pumzi unasikia kabisa. Ila sio nzuri kwa kiswahili, lugha nyengine yuko poa.
View: https://youtu.be/tM9yMJikRwA?si=qq4m0CtkQvNzJBfa
Kabisa kabisa.Tumevamiwa
Nimependa na mimiHabari WanaJamiiForums,
Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa lugha ya kingereza.
Ningefurahi zaidi kupata waliofika hatua ya chuo kikuu kama mimi ili sote tujifunze kwa kila mmoja.
Ahsanteni yeyote mwenye kupendezwa na hili zoezi naomba unidm