Natafuta mtu wa kusogeza naye siku


una chura??kwenu hela ipo??? nikijibiwa haya nakuja pm fasta
 
Umeweza kuandika essay ndefuuuuuu.... Lakini kusema tu kama una chura ama Indian style umeshindwa!
 
Sio lazima kujifanya mjuaji wa kila kitu,kama thread haikuhusu unapota tu maana si vyema kumpangia mtu cha kupost
Endeleeni kupotana.

kupangiana lazima kuwepo hapa umalaya hauruhusiwi tayari umepangiwa. Utapeli hauruhusiwi tayari umepangiwa.

Uhuniuhuni wa kishamba hauruhusiwi tayari umepangiwa. Cha msingi endeleni kupotana. Upuuzi mtupu.

Kwa hiyo nawe unajiona umeokota demuuu?????
 
Endeleeni kupotana.

kupangiana lazima kuwepo hapa umalaya hauruhusiwi tayari umepangiwa. Utapeli hauruhusiwi tayari umepangiwa.

Uhuniuhuni wa kishamba hauruhusiwi tayari umepangiwa. Cha msingi endeleni kupotana. Upuuzi mtupu.
sawa mjuaji ila nina mashaka na hakili yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…