Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Heshimu mawazo ya mtuUpuuzi mtupu.
JamiiForums Moderator hizi thread za hivi ni za kufuta. Kuna watu wapo serious wanatafuta wachumba/wake/waume hawapati kisa upuuzi upuuzi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshimu mawazo ya mtuUpuuzi mtupu.
JamiiForums Moderator hizi thread za hivi ni za kufuta. Kuna watu wapo serious wanatafuta wachumba/wake/waume hawapati kisa upuuzi upuuzi tu.
Kama kichwa kilivyojieleza nahitaji mtu wa kusogeza naye siku kama tutaridhiana tunaweza kuamua kudumu na kufata taratibu zingine.
Sifa za nimtakae
Kubwa katika yote awe tayari kucheck HIV na tutacheck tena after 3 month ili kuhakikisha usalama wetu halafu mengineyo yatafata
Asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara wala mpenda starehe kama kwenda sehemu za club.
Dini- Mkristu
Age- 28-32
Rangi- Maji ya kunde
Elimu awe na diploma au degree itapendeza zaidi.
Kazi- Kaajiriwa/Kajiajiri
Sifa zangu
Mkristu,umri 24,elimu degree rangi mweusi ,mrefu ,uzuri wa sura na umbo nipo kawaida sana.
Kunifahamu zaidi njoo pm.
Sio lazima kujifanya mjuaji wa kila kitu,kama thread haikuhusu unapota tu maana si vyema kumpangia mtu cha kupostUpuuzi mtupu.
JamiiForums Moderator hizi thread za hivi ni za kufuta. Kuna watu wapo serious wanatafuta wachumba/wake/waume hawapati kisa upuuzi upuuzi tu.
Mkuu weutatangaza lini....[emoji39] [emoji39]Wanakuja
Unataka nitangaze?una nia?Mkuu weutatangaza lini....[emoji39] [emoji39]
Endeleeni kupotana.Sio lazima kujifanya mjuaji wa kila kitu,kama thread haikuhusu unapota tu maana si vyema kumpangia mtu cha kupost
Nia ni mijimama kama shishi bae...[emoji39] [emoji39]. Maana wasichana walisha nishinda tabiaUnataka nitangaze?una nia?
nitakudunda wewe. Haya tu.Heshimu mawazo ya mtu
sawa mjuaji ila nina mashaka na hakili yakoEndeleeni kupotana.
kupangiana lazima kuwepo hapa umalaya hauruhusiwi tayari umepangiwa. Utapeli hauruhusiwi tayari umepangiwa.
Uhuniuhuni wa kishamba hauruhusiwi tayari umepangiwa. Cha msingi endeleni kupotana. Upuuzi mtupu.
Nami nataka wa kusogeza mwezinitakudunda wewe. Haya tu.
sawa mjuaji ila nina mashaka na hakili yako
Hee kwani huna mama akuleeNia ni mijimama kama shishi bae...[emoji39] [emoji39]. Maana wasichana walisha nishinda tabia
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hee kwani huna mama akulee
Sijamfikia shishi
njoo nikusogezee mwaka ila rais wa Urusi ataniua [emoji23] [emoji23]Nami nataka wa kusogeza mwezi
We unataka jimama likulee kwenda huko[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Basi umenishinda tabia....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Atakuuaje tenanjoo nikusogezee mwaka ila rais wa Urusi ataniua [emoji23] [emoji23]
Na wewe una load taratibu....Atakuuaje tena