Natafuta mtu wa kusogeza naye siku

Sio lazima kujifanya mjuaji wa kila kitu,kama thread haikuhusu unapota tu maana si vyema kumpangia mtu cha kupost
Ahsante kwa kunisaidia anadhani kila mtu ni wa kumfananisha na alionao
 
Nadhani kikubwa kilichokukwaza ni about HIV hivi unavodhani kwa akili yako mtu anayependa uhai wake anaweza kuingia in relation na mtu asomfahamu bila kupima.Au kusogeza siku cause hata nchi za wenzetu zilizoendelea kuna ndoa za mikataba ili mkiona mnafaa kuendelea gurudumu linasonga mkiona haifai mnabreak up hasa hapo kuna tofauti gani na kusema walikuwa wanasogeza mda wa kuishi.
 

mbna mie majibu sijayapata???
 
wakusogeza siku bado unataka na umri, na kazi na elimu lol,
wewe ungesema natafuta mwanaume mashine mwenye akili timamu baasi.

ndio mnaojilengesha mimba ndiii ndoa zisizo na matarajio baadae vilio msitafute wachumba Jf. kwi kwi kwi.
Yes atleat umeongea kitu ambacho kipo ndani ya moyo wangu ila sikukiweka clear but the aim ya hii relation kama nilivyosema nikusogeza siku.But lolote laweza tokea inawezekana tukaja tukapendana kweli so pia inaweza ikaja kuwa relation ya kudumu japo sijaipa priority kivile but anything can happen in this relation.
 
Mbona hujataja sifa za kimaumbile?...ya nje na ya ndani ili usije kuumia au kushangaa...
 
Aiseeeee!!
Kweli hii ni demokrasia.
 
Hujaeleza millage ya k yako, wanaume waliokupitia wanajaa hiece, coaster, richer au treni ya mwakyembe?
 
Umezaliw 1993 kwa harak harak unasoma iv hamuon maisha aya n magumu emu someni bn dada zangu
 
Kutafuta mke/mchumba kwenye mitandao kwa kweli sijawahi kushawishika na naomba nisije kushawishika, maana unaweza kukutana na kitu ambacho hukutegemea!
 
Jamani jaman. Muogopeni mungu.
Kwenye mapenzi masuala ya elimu. Yanaingia vipi?
 
Hujaeleza millage ya k yako, wanaume waliokupitia wanajaa hiece, coaster, richer au treni ya mwakyembe?
Wanajaa coaster ila bado siti moja I think nawe uongezeke ili siti zisipelee.
 
Unatafuta mwanaume mtandaoni ukimpata uanze kumtesa na mahitahi ya kila siku na starehe zako? Tafuta kazi ikusaidie kuendesha maisha yako we si umesema una degree?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…