Natafuta mtu wa kuzaa nae watoto watatu bila ndoa

Anachozungumza mleta mada yupo sahih, huwezi pata upendo, sex na ndoa bora kwa mwanamke mmoja lazima umpe kila mmoja jukum analoliweza.
Anaeweza kukupenda mpende pia
Anaeweza kukupa sex makini mpe nafasi
Na anaeweza kukuzalia watoto mpe mimba.

Kisha wote waruhusu waendelee na maisha yao nje ya hayo majukum yako msigandane.

Mambo ya kutaka Upendo, Sex, Watoto na ndoa kwa mwanamke mmoja ni unyanyasaji wa kijinsia na kujilimbikizia ajira.
 
kila la kheri .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…