Natafuta Mume aliye serious anayetaka mke. Nina miaka 36

Unataka kumuingiza mwenzio kwenye ushirikina
 
Mkiwa na miaka 20+ mnadengua tukitaka kuwaoa!

Sasa umezalishwa na jamaa kasepa unataka kumuangushia mzigo kijana wa watu.


Lea mwanao achana na sisi
 
Hafai huyu. Hana uvumilivu hata kwenye vitu vidogo sana.
 
Mungu mwenyezi akujalie hitaji la moyo wako, kwa haraka zaidi. Amen!
 
Mimi niko tayari kipato changu papatu papatu na niko na watoto wawili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…