Natafuta mume, awe HIV+

Natafuta mume, awe HIV+

[emoji23][emoji23] wanaiba ninii?
Unalala nae getto jicho moja umefunga lingine unaacha wazi, wakati huo ufunguo umeficha mbali sana bila ya hivyo asubuhi utapiga uwiiii kubwa sana.
 
Unalala nae getto jicho moja umefunga lingine unaacha wazi, wakati huo ufunguo umeficha mbali sana bila ya hivyo asubuhi utapiga uwiiii kubwa sana.
Hebu piga iyo uwiiii apa niskie[emoji23]
 
Itabidi nije nikuone hapo daslam viumbe kama nyie ni baraka, huku kaskazini wanawake wamekuwa majambazi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]majambazi wa nn tena
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]majambazi wa nn tena
Wanawake wamekaa kimkakati unamtamani na yeye anakutamani ukizingua inapigwa simu moja toyo zinajaa hapo getto kinachofata ni I.T.V
 
Hii si inaitwaga ukunga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] keleuwiiiii[emoji2957][emoji2957]
Hiyo hiyo la mamaaa hapo tayari getto ni jeupe na hapo inabidi ulie kidogo urudi ndani, wasikukute hapo nje unadekaa.
 
Hivi bado mmeshikiliwa akili mnaamini kuwa ukimwi upo??
Na mnameza hayo mashudu amkeni waafica HIV is a hoax, kumeza mashudu kunawapeleka makaburini mapema sana.

Mjadala kuhusu HIV ulishaongelewa kitambo humu na hakuna hata daktari mmoja alieleta scientific evidence hata moja bali imebakia imani tu na kurithishana uongo tuliomezeshwa na mabeberu kupitia mainstream, amkeni😎
 
Hiyo hiyo la mamaaa hapo tayari getto ni jeupe na hapo inabidi ulie kidogo urudi ndani, wasikukute hapo nje unadekaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njoo dar Sasa huku hawaibi
 
Hivi bado mmeshikiliwa akili mnaamini kuwa ukimwi upo??
Na mnameza hayo mashudu amkeni waafica HIV is a hoax, kumeza mashudu kunawapeleka makaburini mapema sana.

Mjadala kuhusu HIV ulishaongelewa kitambo humu na hakuna hata daktari mmoja alieleta scientific evidence hata moja bali imebakia imani tu na kurithishana uongo tuliomezeshwa na mabeberu kupitia mainstream, amkeni[emoji41]
Acha tufe nazo[emoji4] kwa kweli dawa siez acha[emoji85]
 
Back
Top Bottom