Natafuta mume, nina miaka 24

Umenipata niko Arusha nafanyakazi mochuary nina kipato cha uhakika.

Ni mrefu kiasi napenda kunywa K Vant,chakula change kikuu ni majimbi na mlenda.

Elimu kidato cha 3 B na kozi fupi fupi za namna ya kuosha maiti kuuza maji na vitu vingine kwaajili ya sayansi nyeusi.

Nina uwezo wa kufanta kazi nyingine kama kuzibua vyoo,ulinzi wa usiku na nk.

Ukuje inbox kama upo serious.

Ngongo kwasasa Michuary Mt Meru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…