mwanamkongwe
Member
- Dec 30, 2016
- 37
- 25
Tuwasiliane kwa +255 754 591 408
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha atatumiwa baada ya kukubaliana PM.Kwanini usianike picha yako watu wathamanishe?
Hilo la kwanza, la pili ni hili la sifa ya umtakaye! Kwamba aged,msomi na mkristo asiye m7to!
Mbona naona kama mzaha f'lan'iv?
Hivi unaweza ukampenda mtu toka rohoni, bila kumfahamu kwa kumuona na kupiga nae stori?
Ama ulishajikatia tamaa kwa kutendwa na washenzi, kwa hiyo sasa umeamua kumpenda yeyote tu, bila kujali sura,tabia na haiba yake, isipokuwa kwa vigezo hivyo pekee?
Ukifanikiwa nipatie mrejesho.
Asije akasema nambemenda!!! au nambaka!!ungekuwa flexible mweer!!
umemzidi just two years and its a big deal!!?
35-37 y'all have some grown up a##$
Umeona tabia gani??Tayari nshachungulia tabia zako kupitia hii comment, isee pm uko pagumu...
Thanks alot Bubu Ataka Kusema.You seems to be a very nice lady good luck and all the best on your search.
sawa bhana dunia yako chaguo lako but 2 years aint worthy a shit! wala si dhambi if you love each other na you are both in late 30s na you both have kids.Asije akasema nambemenda!!! au nambaka!!
37 bado unachagua..bado hujajua umefikaje hapo?Yaani kwakuwa tu muda umeenda basi niolewe na niliyemzidi umri
hapana
bado nachagua wa kunipa furaha bila majuto.
Kwakweli ninabaki nayo papuchi yangu.
Pole sana kama nimekukwaza.Ni ngumu sana kwa tabia zako za kibaguzi kupata mme unayefikiri anakufaa na ni wa maana wakati wewe siyo wa maana.
i.e i. Awe mkristo lakini siyo msabatho
ii. Wasabatho wana masharti magumu
iii. Wasabatho wana tabia za kukera.
Huoni kuwa huko kuzaa nje ya ndoa ndo kunaweza kukawa kumechangia yeye kucherewa kuingia kwenye ndoa?Angalau ulifanya la maana kuzaa, kuolewa ni majaliwa.
Katika ndoa ambazo zinadumu, mwanaume hupenda na mwanamke hupendwa. Upendo wa mwanamke huja baadayeKwanini usianike picha yako watu wathamanishe?
Hilo la kwanza, la pili ni hili la sifa ya umtakaye! Kwamba aged,msomi na mkristo asiye m7to!
Mbona naona kama mzaha f'lan'iv?
Hivi unaweza ukampenda mtu toka rohoni, bila kumfahamu kwa kumuona na kupiga nae stori?
Ama ulishajikatia tamaa kwa kutendwa na washenzi, kwa hiyo sasa umeamua kumpenda yeyote tu, bila kujali sura,tabia na haiba yake, isipokuwa kwa vigezo hivyo pekee?
Ukifanikiwa nipatie mrejesho.
Thanks alot Bubu Ataka Kusema.
Picha atatumiwa baada ya kukubaliana PM.
Kupenda ni kuchagua...!!!
Tuwasiliane kwa +255 754 591 408
Mchumba wangu tayari nimekupa namba tuwasiliane umeishanipata achana na longo longo za haoTuwasiliane kwa +255 754 591 408
Ndiyo nyie mnaojiletea majanga. Huyo Englishlady anajitambua kwa kutaka mwanaume ambaye aidha wanalingana au anamzidi umri. Huyu ni mtu mzima at 37. Ni hatari ukaoa mwanamke anayekuzidi umri (huo ni umariooo tu unasumbua). Wanawake wakati fulani wana dharau hujapata ona hasa mapenzi yanapokuwa ni mazoeasawa bhana dunia yako chaguo lako but 2 years aint worthy a shit! wala si dhambi if you love each other na you are both in late 30s na you both have kids.
kila kheri lakin
Ndiyo nyie mnaojiletea majanga. Huyo Englishlady anajitambua kwa kutaka mwanaume ambaye aidha wanalingana au anamzidi umri. Huyu ni mtu mzima at 37. Ni hatari ukaoa mwanamke anayekuzidi umri (huo ni umariooo tu unasumbua). Wanawake wakati fulani wana dharau hujapata ona hasa mapenzi yanapokuwa ni mazoea
Eti awe na elimu ya Chuo!? Kwani ulimsomesha wewe?Salama wakuu wa love connect.
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.
Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.
Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.
Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.
Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.