Natafuta mume "very serious"

Natafuta mume "very serious"

Hallow JF members,, Mimi ni msichana wa Kitanzania kwa mara ya kwanza najitokeza ktk jukwaa hili kutafuta mwanaume ambaye Mungu akijaalia Inshaallah awe mume wangu.
Sifa zangu..
Umri 28
kidini ni Muislam
Elimu bachelor degree
Kabila langu ni mzigua
Mimi sio tegemezi ni mtafutaji pia nimeajiriwa.
Situmii kilevi chochote.

Sifa za nimtakaye.
Umri 3o+
Elimu at least kuanzia form six
Awe muislam bt akiwa mkristo si mbaya coz dini tumezikuta.
Kabila lolote la ndani ya Tanzania.
Awe na upendo wa dhat.
Awe amejiajiri au ameajiriwa inshort awe na shughuli inayoeleweka ya kumuingizia kipato coz mimi pia najishughulisha.
Akiwa na mwili kidogo itapendeza napenda mwanaume mnene.
Asivute sigara wala Bangi.
Kama anakunywa basi iwe ya kistaarab.
Asiwe mume wa mtu coz sihitaji ndoa ya mitala.
Kwa mwanaume ambaye yupo serious kwa ajili ya kupata mwenza plz tuwasiliane pm.
NB
Nimepitia mengi ktk mahusiano so mpaka kufikia kuja kupost huku basi jua namaanisha kweli kutafuta mume, sidhani kama itakuwa ni busara kunipm kama haupo serious.
hauko serious asee.
umeambiwa na nani au umefundwa wapi na kuambiwa ndoa inatafutwa?! ndomana siku hizi watu wanaodumu kwenue ndoa ni 1 kati ya 10.

kizuri chajiuza kibaya kinajitembeza.
 
Thread za wanaosaka waume zimeongezeka kwa kasi sana. Anyway, usaili unaanza Lini bibie?
 
Salama ndugu yangu [emoji4]

[emoji23][emoji28][emoji23] kweli aisee, na mm najiuliza kwanini mtu afungue ID mpya while kama akija na ID yake ya siku zote ndio ingependeza zaidi,
Umeonaeee kwanza ndo anajionyesha kua yeye ni Really one .

Sasa hawa , utazan kam ni businesswoman bana.
 
Kuwa muangalifu kuna vyeti feki vya six ukakague wizarani then
 
Sifa zote Nazo,kasoro moja tu,navuta sigara
 
Ulishapata mume ?? Ndo huyo umelala nae ??
 
kiukweli wengi tunapenda wake ila hatujajipanga kiasi kwamba tunashindwa hata kuja pm sababu maisha bado hayajakaa kwenye mstari..... ila wengi wanapenda na wana mapenzi ya dhati na tupo single mie nikiwa mmojawapo..!!!
 
Hallow JF members,, Mimi ni msichana wa Kitanzania kwa mara ya kwanza najitokeza ktk jukwaa hili kutafuta mwanaume ambaye Mungu akijaalia Inshaallah awe mume wangu.
Sifa zangu..
Umri 28
kidini ni Muislam
Elimu bachelor degree
Kabila langu ni mzigua
Mimi sio tegemezi ni mtafutaji pia nimeajiriwa.
Situmii kilevi chochote.

Sifa za nimtakaye.
Umri 3o+
Elimu at least kuanzia form six
Awe muislam bt akiwa mkristo si mbaya coz dini tumezikuta.
Kabila lolote la ndani ya Tanzania.
Awe na upendo wa dhat.
Awe amejiajiri au ameajiriwa inshort awe na shughuli inayoeleweka ya kumuingizia kipato coz mimi pia najishughulisha.
Akiwa na mwili kidogo itapendeza napenda mwanaume mnene.
Asivute sigara wala Bangi.
Kama anakunywa basi iwe ya kistaarab.
Asiwe mume wa mtu coz sihitaji ndoa ya mitala.
Kwa mwanaume ambaye yupo serious kwa ajili ya kupata mwenza plz tuwasiliane pm.
NB
Nimepitia mengi ktk mahusiano so mpaka kufikia kuja kupost huku basi jua namaanisha kweli kutafuta mume, sidhani kama itakuwa ni busara kunipm kama haupo serious.
Mie nna sifa zote hapo kasoro moja tu!
Sina kazi wala sijaajiriwa ila mimi ni fundi majeneza, sijui ntakufaa?
 
ngoja na mimi nipitie mengi kwenye mahusiano halafu ndo nikutafute
 
Ukimkosa mwenye sifa hizo ulizozitaja mimi nifikilie
Elimu ya msingi
Dini Islam
Nimejiajiri
Nina Mke mmoja
Naishi mkoani
 
Back
Top Bottom