Kama sikosei aliwahi kuja na thread ya kuwa ni mjamzito wa mwezi mmoja na mhusika alikataa mimba.
Au sio huyu?
Maeneo gani nije fasta?Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.
Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa
Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado
...na mdau huyo ni yeye Mkuu.
Sijui kwanini hajajifunza bado.
Nipo sasa muhitaji,na nipo siriazsina shida na mali zako
Kama nawaona vile. [HASHTAG]#vidumesuruali[/HASHTAG] teheteheMaeneo gani nije fasta?
kwelikweliiiii
Hatar xana mzee!!! Naamini wanawake Huwa hawakuiBasi naomba huu mjadala ufungwe kuanzia sasa naona hilizali limeniangukia
hasa wanaume wa kweli wazee wa kazi tumekuwa adimu sanaDuuh! Wanaume mmekua viumbe adimu nowdays[emoji23][emoji23][emoji23]