Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

watakuja wengi sana kwa jinsi tu ulivyo jielezea mana kuna baadhi ya watu wanapenda sana miteremko...!!!
 
Mahali hakuna kulipa ?.
 
Umeathirika umeachwa mjane unatapatapa
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Kumbe unavuliwa chupi na mtoto mdogo
 
kila kitu ninacho
Sasa wanaume watakuogopa! Unataka mwanaume ndio aje kwako! Sasa hapo atakuwa anaoa au anaolewa? Wanaume wengi wangependa wewe uwe tayari kuiacha nyumba yako na kwenda kwa mume hata kama anapanga chumba kimoja! Halafu hiyo nyumba yako unapangisha!
Nakutakia kila la heri! Ila Serengeti boys miaka 17-20 usiwafungie mlango! Wana vitu adimu kukufanya ujisikie malaika unapaa nyakati fulani hivi!
 
washamezeshwa ivyo wanawake wengi ndo tatizo ilo wakati ishu ni uelewa tuu na kujitambua.
 
Sasa kama hauna mtoto unaogopa nini kua na mwanaume ambaye atakua chini ya hiyo miaka 30? Kwa umri huo mwanaume hana mtu itakua siyo kweli yatakua ni maigizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…