Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

roho mbaya tu inakusumbua .kama wewe hutaki ni wewe kaa na maisha yako
 
kijana kama hatakiwi basi hapo pagumu. ila ucjali usipopata hapa jamiiforums jaribu Google.com wako wa kila sampuli
 
Kuna mtu atadakwa kwa hili bandiko siku c nyingi. [HASHTAG]#Systemisatwork[/HASHTAG]
 
Nipe mamba zako tuongee kwanza.tafadhali sana
 
"ieleweke sio lazima uishi kwangu hayo ni maamuzi yakotu" unatafuta mume au hawara?
 
njo pm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…