mama mtarajiwa
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 290
- 449
- Thread starter
- #161
roho mbaya tu inakusumbua .kama wewe hutaki ni wewe kaa na maisha yakoKama mtu unawaza vizuri hii ni changamsha jukwaa tu hakuna mtu anayetaka mume hapa!! Ni kujichoresha tu na mtu mzima mwenye heshima zake hawezi kuja kutaka mke aliyejitangaza hapa na mkipatana ni muhuni+muhuni tu na maisha yaendelee ila sio kama mnavyowaza kwenye vichwa vyenu, mke bora humo hamna na atakayepatikana hatakuwa bora