Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

Miaka 35 duka si limeshafunguliwa Hilo, weka picha yako.
 
35 huna mtoto, ok tufanye umepata mtoto mwaka huu, mwanao akiwa na miaka 15 we utakuwa na 50 yrs,mbali na hapo mwanao akiwa na miaka 25 we utakuwa na 60, ulikuwa wapi siku zote hadi unakuwa bibi ndo unakumbuka kupata mume, anyway tuambie udhaifu wako ni nini... ?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mama humu watu wana ID's zaidi ya 7,hujaona kuna mwingine kasema kaaply kwa ID's mbili?
Kuwa makini sana.
kumbe wapo hivo? asante kwa kunialart .kazi sana
 
hakuna kitu kinakera kma mtu awe serious halafu mwingine alete utani,, 1.umri si kigezo cha kumpata mume bora,,2. wanaume walonamika 35_50 wengi wao wanataka vibint vidogo na wengine wako kwenye ndoa,,3. ni muda wako sahihi wa kuwa makin sana mana mwingine atafata unafuu wa maisha,, 4. jaribu pia kutuma instagram ktk page kama kwa usipojipanga na mrekebishatabia,,4. naelewa hali yako vyema sana na wanawake wanaohitaj ndoa hicho kitu huwatafuna sana,, usikate tamaa dada kila la kheri mpendwa
 
always wanawake wa staili hii wanataka watu wa kuwasaidia kimaisha ili mipango yao isonge mashariti yote hayo dadangu unatafuta mume bwege??
 
Ningekuwa sijaoa ningekuja, ila nyie wamama wenye vibanda huwa mna katabia ka kunyanyasa waume.
 
Inategemea Nifah asee mi niko nae wa 20's mwenzangu yaani nataka kuhama nchi

Khaaa si kwa utoto toto huu...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] anakufanyia utoto hadi unataka kuhama nchi? Kifukuze au vumilia kitaacha maana mwanaume ni mwanaume tu haya akiwa ana utoto ck akiacha tu utaona mambo mazuri sana
 
Kama sikosei aliwahi kuja na thread ya kuwa ni mjamzito wa mwezi mmoja na mhusika alikataa mimba.
Au sio huyu?
we dada Nifah,huwa una busara sana katika michango yako Mungu Akubariki,wacha nikusifie ukiwa bado hai,pia Miss Chaga na Geniveros mko poa sana huwa mna ushauri wa kujenga sana,kila lakheri wakuu
 
we dada Nifah,huwa una busara sana katika michango yako Mungu Akubariki,wacha nikusifie ukiwa bado hai,pia Miss Chaga na Geniveros mko poa sana huwa mna ushauri wa kujenga sana,kila lakheri wakuu
Nashukuru sana mkuu.
I'm humbled, ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom