Natafuta mume wa kunioa

Binti wakiwa vyuon wanatumiwa weee hadi bhaaaaaas, Eti easy life Kwa kuhongwaa?? Ona sasa mmegraduate mnahangaika hangaika, Nani auziwe mbuzi kwenye gunia... Anyway utapata Sharon mwenzako... Pathetic
 
Kila nikiwafata pm sipati jibu kabisa na hata salamu sijibiwi.

Kama upo serious tafadhali nicheki pm ili tuyajenge.
 
Njoo pm
 
Njoo PM
 
Vipi tunaweza jaribisha premises walau nijue kama sentensi yangu ni falacy au tautology
(mathematician tu ndo watanielewa)
 
Upo tayari kuishi mahali popote?
 
Inaelekea umetoka PM na hujapata jibu zuri unatengeneza mazingira
 
Binti wakiwa vyuon wanatumiwa weee hadi bhaaaaaas, Eti easy life Kwa kuhongwaa?? Ona sasa mmegraduate mnahangaika hangaika, Nani auziwe mbuzi kwenye gunia... Anyway utapata Sharon mwenzako... Pathetic
Huwezi kupata jema lolote kwa kudhania wengine vibaya..
 
Nifuate npo tayari ila npo kanda ya ziwa.
 
Njoo pm
 
Inaelekea umetoka PM na hujapata jibu zuri unatengeneza mazingira
Wewe Kula Kulala endelea kupiga sembe la bure kwa shemeji yako, utakapostuka umri unakimbilia 40 na bado ni mvulana ndo utaelewa nilichokuwa namaanisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…