Njoo pm mama tuyajengeMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Sawa, ila hakuna mliyonayo ina maluweluwe, si haki..!!Hata kama
ni haki yakr kuvhagua ili asijejuta baadae maama mimi na ww hatutakuwepo
Let her be
aende kwa mganga au shekh au mwamposaDa
Dada Mshukuru Mungu amekupa kibali kuna mdada mwenzako anmaliza wiki nzima hajapata mwanaume wa kumwambia mambo, dunia ina mengi ya kustaajabisha
Punguza masharti ya elimu na rangi, Kwasababu, elimu haina matumizi yoyote katika tendo la ndoa na rangi ni matokeo yanayojengwa na mazoea ya dhana fulani.Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Kwa nini nikatae?Hivi mfano ukija kutaka kunioa nikakataa nikakuletea mwanamke mwingine umuoe utakubali? Tuongee uhalisia
Wakubwa tumeshajua kigezo namba moja umekiweka mwisho kabisa....Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Wazee wa kuona mbali ππ¬Wakubwa tumeshajua kigezo namba moja umekiweka mwisho kabisa....
Gold digger...
Nakuombea heri na mafanikio
Kwahiyo ukiletewa mwanamke yoyote yule unaoa? Bora liende?Kwa nini nikatae?
Yaani uniletee toto linaburuza mkia jeupe limepanda mamiguu manene halafu nikatae dah nimerogwa? π³π³π³
Tunataniana tu wala usichukulie siriazi. Ndoa siyo kamari!Kwahiyo ukiletewa mwanamke yoyote yule unaoa? Bora liende?
Nilidhani labda huwa mnaoa kwasababu ya mapenzi na vigezo.
Degree moja au mbili siku hizi ni sawa na la saba tu. Maana wengi wao ni bodaboda, dereva bajaji, machinga, madalali, na wahuni mtaani tuWewe ni msomi, na unaemtaka awe ni msomi vile vile. Kila la heri
Swali! Ukiolewa na mwanamme asie msomi je? Maana waliosoma wengi wao ni masikini wa kutupwa.
Ukiwa tayari kuwa mke wa pili tafadhali nicheki pmMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Bora umesema.Si kweli, kila mtu anahaki ya kuchagua mtu ampendae awe wa namna gani so sidhan kama ilikua na haja ya kumfokea hivo,
Kuwa sijui anamiaka mingi au midogo haimaniishi sasa ndo awe na machuguo yasio sahihi
Do not belittle her she deserve every good thing down earth ππ½