Natafuta mume

Natafuta mume

Dah!! Vigezo vichache lakini nimemkosa mke.

Moyo wangu, vuta subira kidogo.
 
Picha sijaiona. Unataka utuuzie mbuzi kwenye gunia?
 
Hapana hapo kwenye email utafeli kwani utakuwa kama mpelelezi wengine email zetu zina majina yetu halisi ko tutaogopa kutuma email labda nitengeneze fake email kwa ajiri ya suala hili tu
Sasa km upo serious kuoa unaogopa nini akikufahamu jina lako halisi ?.
 
Kanisani umetangaza? Umesema hutaki mwenye mtoto, umejuaje kama wewe utajaaliwa wa kwako, isijekuwa ndo unafukuza watoto bila kujijua!
 
nimekuja ila masharti yangu ya kukuowa ni haya !!!
  • ndoa itafanyikia North Korea
  • nakwenda kukutambulisha kwa mjomba kim
  • ukienda kwetu North Korea ukizaa mtoto mweusi tunakuuwa
    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
bado hujapata nije inbox... natamani kuwa na mke ila sasa kupata mke ndo kasheshe..!!!
 
Ndo nafasi hiyo itumie unaweza kuta ndo yule yule Wa mtaani kwenu alo kuzingua asa huenda mkikutana huku mkapendana

Japo wengi wao ndo wale walo acha juzi kujiuza baada ya soko kua gum
aiseee wameacha kujiuza mmhh
 
Back
Top Bottom