Joblee
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 1,470
- 1,591
E-mail.....Mm ni binti wa miaka 24, mkristu (RC) nimeajiriwa, sina mtoto.
Natafuta mwanaume wa kunioa, umri 26-35, mkristu, asiwe na mtoto.
Nitafute tmaganga21@gmail.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
E-mail.....Mm ni binti wa miaka 24, mkristu (RC) nimeajiriwa, sina mtoto.
Natafuta mwanaume wa kunioa, umri 26-35, mkristu, asiwe na mtoto.
Nitafute tmaganga21@gmail.com
Njoo tuyajenge DM Teddy tuyajenge Sifa zote ninazoMm ni binti wa miaka 24, mkristu (RC) nimeajiriwa, sina mtoto.
Natafuta mwanaume wa kunioa, umri 26-35, mkristu, asiwe na mtoto.
Nitafute tmaganga21@gmail.com
Mm nitakufaa sema sina kazi maalum na elimu kubwa .Mm ni binti wa miaka 24, mkristu (RC) nimeajiriwa, sina mtoto.
Natafuta mwanaume wa kunioa, umri 26-35, mkristu, asiwe na mtoto.
Nitafute tmaganga21@gmail.com
Badilika,labda na wengine watajifunza kabla ya kuomba mume humu,lol BTW changamkia fursa hio mkuu....huyu hata Insta sijui kama anaijua?lol ...............................pengine anaijua,siwezi kumsemea lol
Sasa km upo serious kuoa unaogopa nini akikufahamu jina lako halisi ?.Hapana hapo kwenye email utafeli kwani utakuwa kama mpelelezi wengine email zetu zina majina yetu halisi ko tutaogopa kutuma email labda nitengeneze fake email kwa ajiri ya suala hili tu
Mkuu inakuhusu asilimiaa zotemmmnh hii post inanihusu mie au?
Mwanaume huwa hanaga mtotoMm ni binti wa miaka 24, mkristu (RC) nimeajiriwa, sina mtoto.
Natafuta mwanaume wa kunioa, umri 26-35, mkristu, asiwe na mtoto.
Nitafute tmaganga21@gmail.com
Hizi kauli zitakuchelewesha sana...Unaweza ukaacha tu
aiseee wameacha kujiuza mmhhNdo nafasi hiyo itumie unaweza kuta ndo yule yule Wa mtaani kwenu alo kuzingua asa huenda mkikutana huku mkapendana
Japo wengi wao ndo wale walo acha juzi kujiuza baada ya soko kua gum
Ukiona email ujue atatafuta kujua device kaz ianzeE-mail.....