moshy Abdallah
Member
- Aug 14, 2018
- 10
- 5
Asante kwa kuniepusha na nuksi na matatizoPole sana Mangi
Naanzaje kuogopaInamaana ana mtoto lkn kaogopa kuweka hapa ....maajabu sana .
Unapima seriousness kwa majibuKwi!kwi!kwi!kwi!kwi! Aisee mtafutaji umenifanya nicheke munoooo.Umenifurahisha bibie wa shortcut kwa majibu yako.
In short hauko serious na ni ambaye hayuko serious mwenzio ndio mnaweza kuendana.
Kila la heri
mawazo yako tu hayoAsante kwa kuniepusha na nuksi na matatizo
Aaahh sasa cha kukushaur niiki , mimi sio Padre ,ila amini nakuambia Kama hujawahi kukaa nakujifunza kuziishi tabia zako mwenyewe ili zikufae nakwamba zitumike kua maandalio yako yakua Mke wamtu.Mengine tutarekebishana ...kama kanisani tutapelekana , tabia tutarekebisha
According to youeeh wee wataka mwenye degree. wewe nikwambie chanzo kikubwa cha matatizo ndani ya ndoa ni ukosefu wa pesa ....na kukosa degree hakujawahi kuwa chanzo cha ndoa kulegalega.
wee tafuta msukuma mgegedaji mzuri na mwenye mihela maisha yanaenda. degree karatasi bwana muulize billgates na jamaa wa facebook
Ayaa.mawazo yako tu hayo
Ushazaa sio maoni yangu. Nauliza serios ushaza bado?Maoni yako tu haya
Of course majibu yako yanadepict seriousness yako so kwa majibu haya automatically hitaji lako lazime liwe kiburudisho tu kwa sie wasomaji ila haina maana kuwa hawatakuja huko PM no,watakuja tu usijaliUnapima seriousness kwa majibu
Njoo in pm tuyajengeHabari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima
Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Hongera
Mmhh sawa mamaNaanzaje kuogopa