Nimeshindwa kukufata PM sijui nakosea wapi, nielekeze au nitext anything ili niweze kujibu directKaribu
Muache anaona tunafaidi 😃😃😃😃Hahahaha nimecheka kwa sauti kulala utupu si kazi ndogo eti
OkMwanaume atakayekuja kuwa mume
Tunapendana. Tangu hasubui alikuwa na hamu ya kuchart nikamwambia anzisha uzi kama huu. Tuwapime imani marafiki na wananzengo. Sasa nashangaa hata ww umeingia mkenge.Shemela huwezi amini moja ya comment nilikuwa nahitaji kuona kwenye uzi huu ni yako kitu gani kimetokea siamini ujue au Zeshchriss ana changamsha tu.
Hako kamdeko kako huwa nakapenda.Taki huko
Vizuri shemela wangu wa ukweli,Fanya mpango umchukue jumla mabaharia wa humu wanamezea mate kumpata @Zechchriss wako.Tunapendana. Tangu hasubuhi alikuwa na hamu ya kuchart nikamwambia anzisha uzi kama huu. Tuwapime imani marafiki na wananzengo. Sasa nashangaa hata ww umeingia mkenge.
kanza elimu yako sio std 7, pili _______________.Nimedanganya nini mkuu?