Natafuta mume

Huu uzi wa linii [emoji23][emoji23][emoji23] shoga angu umepataa?
Santino hebu okota dodo hili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sijui ulichelewa wapi mpenzi, yaani mpaka nimepata majanga kupitia hii we hujafika tu
 
Bibie ushaanza kumaaliza ujana eeeeeh??😎😎
 
Usimchanganye zeshchriss katika hili. Mitazamo yetu haikinzani na amejiona muda umefika ndio maana anatafuta mume.

Issue hii imekuja baada ya Rebeca 83 kusema 26 ni mdogo.

Acha upotoshaji kiddo
Lakini brother alichomaanisha yeye Ni kwamba awe makini..
Asije akafanya tu Ili mradi kwasbu ndoa Ni taasisi kubwa..
Sidhani kama Kuna sehemu yoyote ameongea kwamba huyu mtoa Mada asitafute mwanaume.

Kosa lake liko wapi hapo?
 
Mkuu, wenye vitambi ndo umetuDiss sio![emoji134]

Unapata dhambi.
 
Mkuu, wenye vitambi ndo umetuDiss sio![emoji134]

Unapata dhambi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nitawafungulia uzi wenu msijali
 
PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…