Mkuu, kama hutojali...nije tuonane PM...hahha...hiki kitambi utakipunguza huko mbeleni, utakuwa unanipikia Diet nzuri.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nitawafungulia uzi wenu msijali
Akupasie ina maana hunioni au [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kila rakheri dear, ukipata wengi nipasie wawili watatu
Hahahahahahhahaha wapi Kuna lock mzee
Thubutuuuuu mi mwenyewe diet siiwezi nina litumbo kama mjamzito[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, kama hutojali...nije tuonane PM...hahha...hiki kitambi utakipunguza huko mbeleni, utakuwa unanipikia Diet nzuri.
Ohooo hapa ndio unaharibu kabisaaaaaaa, kubet tena!?
Huu hapa uncle troublemakerUnatafuta mume🙄kwamba uncle wangu ushamuacha au tatizo vigezo!!
troublemaker ulikwama wapi uncle 🤔
Hahaa, Mrs Marangu miye, ila nilitaka mleta Uzi akishapata anaowahitaji ndyo atupasie na sisi ,ila si mbaya mambo vipi Mr Marangu Moshi![emoji3]Akupasie ina maana hunioni au [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sijui ulichelewa wapi mpenzi, yaani mpaka nimepata majanga kupitia hii we hujafika tu
Sijakwambia nini king, ulitaka unihonge salary ya August??[emoji3] [emoji3] , nilikuonea huruma unihonge afu familia wale nini jamaniMbona hujaniambia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haahhaahhahahahahahahah mwaka 2070
Hongera huna mashart magumuSalaam kwenu.,,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm
Ahsanteni sana
Hahaaa, naloliiiSya kusesya [emoji1][emoji1][emoji1]
Shwari kabisa Nadhani jina lako na kabila yangu vina uhusiano trna wa vina7Hahaa, Mrs Marangu miye, ila nilitaka mleta Uzi akishapata anaowahitaji ndyo atupasie na sisi ,ila si mbaya mambo vipi Mr Marangu Moshi![emoji3]
Atafune kote koteFafanua: Awe anajua kutumia uanaume wake.