Natafuta mume

Ungekuwa unataka mwanaume wa kiislamu ningekushauri subiri masela toka dubai wanakuja wapo kwenye mashua ya dp world
 
 
aujasema umri wako bibie ila sio kesi sana ila ungesema basi kama we mwenyew unajimudu kiuchumi au la? itasaidia kupunguza usumbufu.
 
Umesahau kuandika umri wako, Pili hivi heshima ni IPI hiyo huwa mnaiongelea na matunzo unamaanisha matunzo yepi?
Hapo kwenye matunzo anamaanisha mwenye wallet inayopasuka. hapo kaamua kutumia tafsida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…