SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #81
Nisingetoa bangoNdio hivyo kwakuwa nao hawaamini kama uko singo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisingetoa bangoNdio hivyo kwakuwa nao hawaamini kama uko singo
[emoji3][emoji3][emoji3] pengine wako night shift vitengo nyetiAha!utapokea simu hata usiku maana shida ndio hilo usiku watu hawapokei wakipokea nitakupigia kesho usiku mwema eh
Na kweli nyeti[emoji3][emoji3][emoji3] pengine wako night shift vitengo nyeti
Kweli wamejitokeza ila hawana uhuru.
Wengine wanaonekana ni wanaume za watu ufree haupo .
Nikweli ila ndio nimeshasema kama umeoa usije humu shida huwaga nini??
Ni sawa lakini si kwa majina halisi.. Yaani nao wana mashaka! Mimi naweza kukuamini lakini kiuhalisia wengi wamejawa na mashaka!Nisingetoa bango
[emoji3][emoji3][emoji3] pengine wako night shift vitengo nyeti
I have a story to tell lakini sio sasa...! Sio leo..!Na kweli nyeti
IlA si wAmepata lakiniNi sawa lakini si kwa majina halisi.. Yaani nao wana mashaka! Mimi naweza kukuamini lakini kiuhalisia wengi wamejawa na mashaka!
Kuna watu walishatangaza wako single hapa na wakapata wapenzi kumbe wenza wao wamesafiri mbali kikazi
Ukiwa tayari ni tagI have a story to tell lakini sio sasa...! Sio leo..!
Wadangaji walikutanaIlA si wAmepata lakini
I have a story to tell lakini sio sasa...! Sio leo..!
Wewe mchana wote umeshindwa kupiga simu mpaka upige usikushida ndio hilo usiku watu hawapokei wakipokea
Hamjui mapenzi nyie sio waaminifuWewe mchana wote umeshindwa kupiga simu mpaka upige usiku
Kuna manzi tuliachana same day baada ya kumpiga sound akajaa mchana tukapiga story Safi kabisa bila matatizo kumbe akawa anasubiri usiku uingie apige simu akapiga call za kawaida sikupokea mpaka WhatsApp video nikagoma kupokea
Ndio ukawa mwisho wetu huo namuuliza shida nini ooh usiku haupokei simu unakua na nani?
Maswali gani hayo kwani mchana hatuwezi kuongea mpaka tuongee usiku tu?
Sasa ndio uvizie usiku utake kuongea na simu yaan usiku tu ndio nataka kuongea nikupigie nataka kuongea nikupigie yaan mchana kutwa upo busy huko hupigi simu usiku unataka kupiga simu nshachoka Mimi unataka kunipigisha story zako piga asubuhi tukiamka sio usikuHamjui mapenzi nyie sio waaminifu
Sikufeki bro [emoji23]Hivi kaka ile story yako ya Mam mkwe ilikuwa ya kweli? Kila nikikumbuka nacheka.
Aaah.. Umechelewa kuona tangazo mkuu! Karibu biashara haijeshaaaSikuona tangazo lako, njoo PM.
tatizo linaanzia kwenye jina,hilo jina lilikataliwa kwenye kikao cha mwezi wa 7 Equation x hili jina si lipo ktk list?Kila lakheri kwako Fetty.
tatizo linaanzia kwenye jina,hilo jina lilikataliwa kwenye kikao cha mwezi wa 7 Equation x hili jina si lipo ktk list?