Natafuta mume

Natafuta mume

Hata mimi kipenzi chako cha moyo hunitaki!
WEwe hapana wewe ni wangu mganga watiba ya roho yangu kingasti changu jamani sweety babu nakuhitaji forever honey wangu laaziz ,sweety sweety dedication song ya zebron singer.
 
Halafu nawaogopa nahuku nimeandika kupitia nani siwewe . Nyie wawili mnajiona sana eti mnaogopwa kwa lipi hasa labda kwa hao wanaowatetemekea sio kwa mie ambaye hata bando hamnipi eti niwagope aisee acha zako
Uwe unakausha vizuri bange zako aisee.
 
Kwani na waogopa mnaniweka duniani siwaogopi eti. Pumzi hii Mungu ndio anatoa sio nyie so hakuna yeyote namuogopa zaidi ya Mungu .
Ukiwa unavuta uwe unavuta kwenye hewa safi sawa mtoto mzuriii eeh?
 
Uwe unakausha vizuri bange zako aisee.
Huu ni mwaka mpya na siongei nawatu wanaotaka kuniambukiza nuksi ngoja nikuignore itakuwa vyema wewe ila hichi kipuuzi chenu kiupinde chenu manyaza mwambie asinizoee mie sina time na wapuuzi kama yeye sijui unaelewa
 
Huu ni mwaka mpya na siongei nawatu wanaotaka kuniambukiza nuksi ngoja nikuignore itakuwa vyema wewe ila hichi kipuuzi chenu kiupinde chenu manyaza mwambie asiniozee mie sina time na wapuuzi kama yeye sijui unaelewa
Ila jamii forums hata uwe mpole vipi, utajikuta tu umeingia kwenye 18 za watu wakorofi. Pole sana my sweety candy.
 
Huu ni mwaka mpya na siongei nawatu wanaotaka kuniambukiza nuksi ngoja nikuignore itakuwa vyema wewe ila hichi kipuuzi chenu kiupinde chenu manyaza mwambie asiniozee mie sina time na wapuuzi kama yeye sijui unaelewa
Uwe unakunywa vizuri dawa zako ulizopewa milembe.
 
Back
Top Bottom