SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WEwe hapana wewe ni wangu mganga watiba ya roho yangu kingasti changu jamani sweety babu nakuhitaji forever honey wangu laaziz ,sweety sweety dedication song ya zebron singer.Hata mimi kipenzi chako cha moyo hunitaki!
Uwe unakausha vizuri bange zako aisee.Halafu nawaogopa nahuku nimeandika kupitia nani siwewe . Nyie wawili mnajiona sana eti mnaogopwa kwa lipi hasa labda kwa hao wanaowatetemekea sio kwa mie ambaye hata bando hamnipi eti niwagope aisee acha zako
Ukiwa unavuta uwe unavuta kwenye hewa safi sawa mtoto mzuriii eeh?Kwani na waogopa mnaniweka duniani siwaogopi eti. Pumzi hii Mungu ndio anatoa sio nyie so hakuna yeyote namuogopa zaidi ya Mungu .
Huu ni mwaka mpya na siongei nawatu wanaotaka kuniambukiza nuksi ngoja nikuignore itakuwa vyema wewe ila hichi kipuuzi chenu kiupinde chenu manyaza mwambie asinizoee mie sina time na wapuuzi kama yeye sijui unaelewaUwe unakausha vizuri bange zako aisee.
Ila jamii forums hata uwe mpole vipi, utajikuta tu umeingia kwenye 18 za watu wakorofi. Pole sana my sweety candy.Huu ni mwaka mpya na siongei nawatu wanaotaka kuniambukiza nuksi ngoja nikuignore itakuwa vyema wewe ila hichi kipuuzi chenu kiupinde chenu manyaza mwambie asiniozee mie sina time na wapuuzi kama yeye sijui unaelewa
Uwe unakunywa vizuri dawa zako ulizopewa milembe.Huu ni mwaka mpya na siongei nawatu wanaotaka kuniambukiza nuksi ngoja nikuignore itakuwa vyema wewe ila hichi kipuuzi chenu kiupinde chenu manyaza mwambie asiniozee mie sina time na wapuuzi kama yeye sijui unaelewa
Achana nao watu walio namuda hawakui mie sina time na time na wewe msweety wangu huba la moyo wangu mwaaaaIla jamii forums hata uwe mpole vipi, utajikuta tu umeingia kwenye 18 za watu wakorofi. Pole sana my sweety candy.
unapatikana wap kwanzaWasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.
Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu
Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.
Siku njema
====
Mrejesho wa kutafuta mume