Natafuta mume

Hakuna hela hakuna mapenzi. Siku nikiwa na hela nitanunua mapenzi.
Siku hizi tunazalisha na tunalea watoto. Nguvu za kiume zenyewe hatuna, ni mwendo wa kuvizia
 
Mbona unawapa watu wengine bahati ya mtende?

Wewe ni ME au KE.. kama ni ME je wewe hauitaki?
 
Njoo mammy tuyajenge....upo mkoa gani?
 
Mi sijawai amin km mtandaoni unaweza pata mtu sahihi


Km eneo la kazi, mitaa unayokaa, ulikozaliwa umekosa kupata ambako unaona matendo ya wahusika sembuse huku
Hao waliopo huko mitaani ndio hao hao waliopo humu JF
JF sio Dunia ya watu wanaoishi kwenye nchi ya peke yao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada achana na mambo ya kuolewa/ndoa hebu fanya mambo mengine tyuuh, kuna maisha nje ya hayo utakayo.
 
Unataka kuolewa na TBC za nmeona Uwazi na Ukweli😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…