Sawa but binadamu yoyote hupimwa kwa matendo yake ya kila siku ....sio anayoyatamka.....point yangu kuu ni kwamba huku mitandaoni utamjuaje huyu mtu ni sahihi na background yakeHao waliopo huko mitaani ndio hao hao waliopo humu JF
JF sio Dunia ya watu wanaoishi kwenye nchi ya peke yao.
Asante Watu8 πππnimechagua angalau inayofanana namimi πππππile ya mwanzo, ilikuwa tofauti kila kitu namimi nilivyo.Avatar yako ya sasa matata kweli kweli...π
The reason ya watu kukimbilia mtandaoni ni kupata mtu Asie Mjua (yeye mtafutaji) in and out.Mi sijawai amin km mtandaoni unaweza pata mtu sahihi
Km eneo la kazi, mitaa unayokaa, ulikozaliwa umekosa kupata ambako unaona matendo ya wahusika sembuse huku
Mkuu,labda ungemwambia kabisa kua,huo umakini anaotakiwa kua nao ni upi hasa?Utapata, muhimu kuwa makini.
JF raha sana nimecheka kwa sauti, eti asante Mungu we jamaa kavu sanaOh Asante Mungu
Niko PM mke mtarajiwa
Nasubiri siku na wewe mrembo ukiweka thd ya aina hii hapa JF,Asante Watu8 πππnimechagua angalau inayofanana namimi πππππile ya mwanzo, ilikuwa tofauti kila kitu namimi nilivyo.
The reason ya watu kukimbilia mtandaoni ni kupata mtu Asie Mjua (yeye mtafutaji) in and out.
Sio kwamba mtaani au maeneo ya kazi hamna ila huko watu wanatujua sana mazoea yamezidi (u serious mdogo sana)
atleast humu mtandaoni ukitafuta mtu mnakutana wote Vibe 1 ila kufikia malengo ndio kipengele kingine.
Sasa mkuu unafikiri wataoana hapa hapa JF kwenye hii thd? lazima watakutana na kujuana in and out.Sawa but binadamu yoyote hupimwa kwa matendo yake ya kila siku ....sio anayoyatamka.....point yangu kuu ni kwamba huku mitandaoni utamjuaje huyu mtu ni sahihi na background yake
πππsi umfuate inboxUkashindwa kuniita mapema nipate mrembo au roho mbaya
Hapo uwezekano wa kudanganya ni mkubwaSasa mkuu unafikiri wataoana hapa hapa JF kwenye hii thd? lazima watakutana na kujuana in and out.
Mimi tayari @Icebreaker mtu humu kishaniwahi πππππNasubiri siku na wewe mrembo ukiweka thd ya aina hii hapa JF,
Nitawahi asubuhi na mapema kabla hata Jogoo hajawika.
π
All the best and good luck,Mimi tayari @Icebreaker mtu humu kishaniwahi πππππ
Thank you π€All the best and good luck,
Enjoy life.
Kila la kheri mamii, utapata tu. Tuna vijana kibao humu wanatafuta wenza.
πJF raha sana nimecheka kwa sauti, eti asante Mungu we jamaa kavu sana
Kwahiyo wewe nikupe talaka?ππππsi umfuate inbox