🙆mweeWeka picha tusaminishe..
Je unamsabwanda au mbwa kala mbwa🤣🤣🤣 Shida yenu mnaotafuta wenza kwenye mitandao ya kijamii huwa mnakua na sura za baba na shepu kama fidodido🤣🤣🤣
Nna kibamia vipi nije?Habari wana jf,
Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.
Awe na akili timamu na awe shughuli halali. Umri kuaninzia 34 na kuendelea, awe muwazi na mkweli. Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.
Asanteni.
Ni cute? Ngoja chap nikimbilie pmKila lenye kheri cute
Wanawake wote ni macute jamanNi cute? Ngoja chap nikimbilie pm
Huo utitir utakao kuja Pm kuwa makiniHabari wana jf,
Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.
Awe na akili timamu na awe shughuli halali. Umri kuaninzia 34 na kuendelea, awe muwazi na mkweli. Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.
Asanteni.
Nafanya ushenga moja kwa mojaHabari wana jf,
Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.
Awe na akili timamu na awe shughuli halali. Umri kuaninzia 34 na kuendelea, awe muwazi na mkweli. Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.
Asanteni.
Sio kweli. We acha tuWanawake wote ni macute jaman
Ila vijana mnapenda sana kutuonea wazee.Nikutakie kila lenye kheri mrembo, ila nilichogundua kwenye bandiko lako................
1. Wewe si kibarua. Una kazi yako stable tu
2. Wewe sio mgeni kiviiiiile JF, yawezekana una id nyingine (Sio mbaya lakini)
3. Umesha settle na maisha sasa, ni mtaji kwa atakaekupata
Wazee mchukueni mama huyu mfurahie maisha humu duniani. Maisha ya ndoa sio mabaya kama baadhi ya watu wanavyotuaminisha kila siku, inategemea tu chemistry yenu mnaiweka vipi. Mkijuliana aaaaah maisha ni matamu sana
Asee niamkie kwanza aloofIla vijana mnapenda sana kutuonea wazee.
Sio wote mwache mwenzako atapata na watatuliaHuo utitir utakao kuja Pm kuwa makini
Watu saiv wanatak kuloweka n kukimbia😀
Mkuu nakuomba PMmimi mwenyewe nina huitaji sema sina pesa ila kula utakula pm iko wazi
Sasa kama unajua uko below 18 huku unafanyaje?Umri tu sijafikisha hiyo miaka tungeanza safari salama
Ushaambiwa anataka kuanzia miaka 34 sasa Mimi sijafika hiyo miakaSasa kama unajua uko below 18 huku unafanyaje?
By the way hajaweka kigezo cha umri so hata unaweza kusafiri nae safari salama.
Nmempta tahadhar tu sijamkatisha Tamaa kbsaaSio wote mwache mwenzako atapata na watatulia