Natafuta mwalimu wa martial art

Natafuta mwalimu wa martial art

Habari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka.

Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji.

Nilikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu ila sikuweza kuitimiza ijapokuwa umri umeenda niko tayari kujifunza . Muda wangu ni kuanzia saa tisa na nusu jioni mpaka usiku na weekend.

Niko tayari kujifunza kwa nidhamu ya hali ya juu sana.
Npo hapa mwalimu wa mathematics!
 
Kwa umri huo why mkuu usicheze tu kick boxing? Sina uelewa saaana wa mambo haya ila nadhani kick boxing haina mambo mengi kama karate.
 
Kwa umri huo why mkuu usicheze tu kick boxing? Sina uelewa saaana wa mambo haya ila nadhani kick boxing haina mambo mengi kama karate.
Nataka hiyo hiyo yenye mambo mengi kiongozi
 
Shotocan itanifaa. Na maeneo uliyotaja ninayafahamu sana . Asante kiongozi
kama unataka Shotocan nenda ujiji huko kamuulizie Seif kavanga, na wenzie kina Mudi au Sheikh Maulid nadhani dojo lao liko jirani na gereji ya Saratoga
Ila kama unataka ngumi boxing nenda bangwe ukifika muulizie Issa au Juma, hao ni makocha na wawakilishi wa ngumi (ubondia) kigoma
 
Martial art unajifunza vizuri , pia huwa sio kupigana Bali Ni kupigana ama kutawalaa mind yako pekee ndio Mana ya martial art.
Inatakiwa upigane pasipo kupigana. Wanaokudanganya umri , umri is nothing but the will/desire/passion and ability and willingness to do something over and over and over again day in day out ndio ishu kubwa na hii hapa sio suala la umri ni ule utayari wako na upendo gani imeweka kwa kujifunza kwa hii kitu
 
Umri umeshaenda huo na hautaona faida wala manufaa ya huo mchezo, 😂😂😂
Mbali na self defence lakini pia hiyo ni sanaa unayokaa nayo hadi uzee wako wote kwasababu unaweza kucheza baadhi ya kata ukiwa umekaa au hata kitandani na ikishindikana mwili kabisa unafanya hizo kata through meditation.

Muangalieni hata Rais Putin na umri wake wote huo lakini bado hiyo sanaa anaitendea haki kisawasawa.

Kwa umri huo wa miaka 31 huyo bado kijana sana. Wapo waliojifunza wakiwa over 40
 
Mbali na self defence lakini pia hiyo ni sanaa unayokaa nayo hadi uzee wako wote kwasababu unaweza kucheza baadhi ya kata ukiwa umekaa au hata kitandani na ikishindikana mwili kabisa unafanya hizo kata through meditation.

Muangalieni hata Rais Putin na umri wake wote huo lakini bado hiyo sanaa anaitendea haki kisawasawa.

Kwa umri huo wa miaka 31 huyo bado kijana sana. Wapo waliojifunza wakiwa over 40
Angalizo; unakaa nayo hadi uzee kwa kuendelea kufanya mazoezi na si vinginevyo kama ilivyo kwa mafunzo mengine kama vile ya kitaaluma ambayo ukishahitimu na kupata cheti ndio mwisho.
Karate ni kama maji ya moto usipoendelea kuyaweka jikoni yanapoa.
 
Habari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka.

Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji.

Nilikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu ila sikuweza kuitimiza ijapokuwa umri umeenda niko tayari kujifunza . Muda wangu ni kuanzia saa tisa na nusu jioni mpaka usiku na weekend.

Niko tayari kujifunza kwa nidhamu ya hali ya juu sana.
Jifunze mbio tu
 
Back
Top Bottom