Natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili

Si kasema wanaingia mkataba kabisa before?
Labda akimkatikia kiuno vizuri bas mkataba unaweza extended to permenent contract
Bongo hakunaga heshima ya mikataba,muda wowote unaweza kurekebishwa au kubatilishwa
 
Heshima kwako
 
Tugawane deal, tumzalie mmoja mmoja ili miili nayo ibaki sexy
Halafu kweli. Maana kuzaa watoto wawili haraka haraka nako kunazeesha. Ngoja tuone kama atakubali offer yetu. Million 5 na hela ya matumizi si haba.
Hapo kwenye kifaransa itabidi baba watoto atupeleke course mapema kabla watoto hajawajaja
 
Hiyo hela imenitoa roho jamani, sasa kiingereza tu sijui ndio hicho kifaransa!!!!!! Mkuu hautaki hata yaya jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…