Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Nipe mimi nitakupa na ofa nonoMi nimepata bikra ila sina mpango wa kumuoa
Rejea mada husikawewe bikra unayo?
Humu huwezi kumpata hata ukikeshaNatafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
- awe Muslim
- mweupe
- 19 to 22 years
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
- awe amelelewa kimaadili
- awe tayari kuwa na watoto watatu
- awe kabila lolote
- awe mwembamba itapendeza
Kama wewe una sifa tajwa njoo pmhayang'u
Nipe muongozoHumu huwezi kumpata hata ukikesha
Kila mtu na chaguo lakeDah, yaani ukivyoandika hayo masharti...
Kihelehele ndio nini?Wewe demu? Mbona kihelehele