Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Captain Fire

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2023
Posts
2,435
Reaction score
5,000
Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :

  • awe Muslim
  • mweupe
  • 19 to 22 years
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
  • awe amelelewa kimaadili
  • awe tayari kuwa na watoto watatu
  • awe kabila lolote
  • awe mwembamba itapendeza
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
 
Humu huwezi kumpata hata ukikesha
 
Sasahiv nahisi Kuna washenzi wanatabia ya kurubuni vitoto vidogo ili wawatoe bikra kiasi kwamba ni nadra kukuta bikra hata kwa watoto wa shule ya msingi,...... Hii ni kero kubwa sana serikali iingilie kati!! Kiwe kigezo Cha mwanamke kwenda form six! Yaani ili mwanamke aingie form six awe bikra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…