Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

wewe bikra unayo?
Mwanaume ha trade bikra katika mahusiano,mwanaume thamani yake anaitafuta Kama huyu akasoma akaajiriwa ivyo uhakika wa mke wake kula na kulala nk upo.
Unadhani mwanamke katika mahusiano unachangia nini zaidi ya mwili wako so mwili wako inabidi uwe na thamani kweli kweli mojawapo kinachoutambulisha uthamani wake ni bikra,jiulize why me hakuumbwa na sealed ya ubikra.

Yaani mwanamke zaidi ya mwili wako huna cha kuchangia kwenye mahusiano ,mwili wako uzae na mwanaume at00mbe basi.
Mwanaume anaangalia jana yako Ila wewe unaangalia kesho ya mwanaume.

Just tell me what are you trading in relationship a part from your body, can you build even a house or pay one year rented house.
Wakati utaanza kulia wewe mpaka watu wote watajua unalipa wewe.

Thamani yako wewe ni mwili yaani mwili ambao hata hukuumia kuupata ilitakiwa uwe mwaminifu mpaka mme wako atakapoufungua
 
Chagua hapa hope utapata mmoja
 

Attachments

  • Screenshot_20241227_170105.jpg
    Screenshot_20241227_170105.jpg
    215.6 KB · Views: 4
Mwanaume ha trade bikra katika mahusiano,mwanaume thamani yake anaitafuta Kama huyu akasoma akaajiriwa ivyo uhakika wa mke wake kula na kulala nk upo.
Unadhani mwanamke katika mahusiano unachangia nini zaidi ya mwili wako so mwili wako inabidi uwe na thamani kweli kweli mojawapo kinachoutambulisha uthamani wake ni bikra,jiulize why me hakuumbwa na sealed ya ubikra.

Yaani mwanamke zaidi ya mwili wako huna cha kuchangia kwenye mahusiano ,mwili wako uzae na mwanaume at00mbe basi.
Mwanaume anaangalia jana yako Ila wewe unaangalia kesho ya mwanaume.

Just tell me what are you trading in relationship a part from your body, can you build even a house or pay one year rented house.
Wakati utaanza kulia wewe mpaka watu wote watajua unalipa wewe.

Thamani yako wewe ni mwili yaani mwili ambao hata hukuumia kuupata ilitakiwa uwe mwaminifu mpaka mme wako atakapoufungua
Ndio bro, ila nashangaa wengine wanakuja kwa hasira na matusi, naamini kila mmoja anachagua akipendacho mimi nimapenda niwe na mke niliemkuta akiwa bikra na mwingine atakuambia anapenda aoe mwanamke aliewahi kutoa mimba or mzoefu wa show,,, ni kila mmoja na maamuzi yake ni kama mwanamke tu anapochagua mwanaume mwenye hela, handsome, etc
 
Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :

  • awe Muslim
  • mweupe
  • 19 to 22 years
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
  • awe amelelewa kimaadili
  • awe tayari kuwa na watoto watatu
  • awe kabila lolote
  • awe mwembamba itapendeza
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
Nenda Zenji utawapata wengi tu tatizo hawana marinda.

Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom