Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
- Thread starter
- #41
Yes kama naweza kuafford binaadamu Bikra kwanini nikachukue used?Kwa nini?
Mbona nguo, gari, nyumba n.k unatumia mtumba??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes kama naweza kuafford binaadamu Bikra kwanini nikachukue used?Kwa nini?
Mbona nguo, gari, nyumba n.k unatumia mtumba??
Tupo bana acha hizoNasikitika kusema jf hawapo
Ulichomolewa utotoniSijawahi Kuwa navyo.
Ahsante 🤐
Wewe bado una bikra kweli?Tupo bana acha hizo
Kwanini bro, hata mwenye connection na bikra sipati?Kwamba hapa jf upate mwanamke bikra? You're not serious!
Nimependa avatar yako😊Sijawahi Kuwa navyo.
Ahsante 🤐
Njoo tuyajengeTupo bana acha hizo
Mwanaume ha trade bikra katika mahusiano,mwanaume thamani yake anaitafuta Kama huyu akasoma akaajiriwa ivyo uhakika wa mke wake kula na kulala nk upo.wewe bikra unayo?
Mtazamo wako umeishia hapoUlichomolewa utotoni
Ndio labda ulipata jeraha huko likapita na bikraMtazamo wako umeishia hapo
Ahsante mkuu🙏Nimependa avatar yako😊
Nenda kijijini kwenu tafuta bint mbichi kabisa lkn mwenye sifa unazotaka atakuwa hana elimu kubwa zaidi ya drs la saba.Nataka brand new sio mtumba
Ndio bro, ila nashangaa wengine wanakuja kwa hasira na matusi, naamini kila mmoja anachagua akipendacho mimi nimapenda niwe na mke niliemkuta akiwa bikra na mwingine atakuambia anapenda aoe mwanamke aliewahi kutoa mimba or mzoefu wa show,,, ni kila mmoja na maamuzi yake ni kama mwanamke tu anapochagua mwanaume mwenye hela, handsome, etcMwanaume ha trade bikra katika mahusiano,mwanaume thamani yake anaitafuta Kama huyu akasoma akaajiriwa ivyo uhakika wa mke wake kula na kulala nk upo.
Unadhani mwanamke katika mahusiano unachangia nini zaidi ya mwili wako so mwili wako inabidi uwe na thamani kweli kweli mojawapo kinachoutambulisha uthamani wake ni bikra,jiulize why me hakuumbwa na sealed ya ubikra.
Yaani mwanamke zaidi ya mwili wako huna cha kuchangia kwenye mahusiano ,mwili wako uzae na mwanaume at00mbe basi.
Mwanaume anaangalia jana yako Ila wewe unaangalia kesho ya mwanaume.
Just tell me what are you trading in relationship a part from your body, can you build even a house or pay one year rented house.
Wakati utaanza kulia wewe mpaka watu wote watajua unalipa wewe.
Thamani yako wewe ni mwili yaani mwili ambao hata hukuumia kuupata ilitakiwa uwe mwaminifu mpaka mme wako atakapoufungua
Nenda Zenji utawapata wengi tu tatizo hawana marinda.Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
- awe Muslim
- mweupe
- 19 to 22 years
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
- awe amelelewa kimaadili
- awe tayari kuwa na watoto watatu
- awe kabila lolote
- awe mwembamba itapendeza
Ahsante kwa muongozoBikira ziko madrasa
Kama ndo chaguo hupati ngo' mwenye sifa zoteKila mtu na chaguo lake