Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Kwanza heshima na upendo kwake ni zaidi ya mara mbili kwa huyu uliyemkuta akiwa kawaidaMwanamke Bikra anatamani sana hawezi kufananishwa na mwanamke amabe hakujitunza ila watu hawajui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza heshima na upendo kwake ni zaidi ya mara mbili kwa huyu uliyemkuta akiwa kawaidaMwanamke Bikra anatamani sana hawezi kufananishwa na mwanamke amabe hakujitunza ila watu hawajui
Kwakua mke wako ulimkuta na kisima huwezi jua umuhimu wa bikraNini faida ya mpya kwako?
Bikra uliyonayo ni ipi ya mbele au ya nyuma?Ufahamu wako umeishia hapo pia, pole saana.🤐
Sina sifa zote za kuwa mkeo, ndio maana nikatakia kheri kwenye utafutaji wa mke mwema hitaji la moyo wakoSifa gani huna
Kisima unakipimaje ukiwa kibamia??Kwakua mke wako ulimkuta na kisima huwezi jua umuhimu wa bikra
Naam kuna mke wa mtu kitaa aliolewa sio bikra si kuna siku namsikia anawaambia wenzake alivyotolewa bikra na mhuni flani nikajisemea kumbe uwa hawawasahauKwanza heshima na upendo kwake ni zaidi ya mara mbili kwa huyu uliyemkuta akiwa kawaida
Kwani unanionaje?Wewe bado una bikra kweli?
Umejaribu kupenyeza kwenye Yako?!Hiyo uliyonayo umejaribu kupenyeza hata kidole cha mtoto kikagoma kupita?
Mimi sio muislamNjoo tuyajenge
Nikuulize weweKisima unakipimaje ukiwa kibamia??
Kigezo cha kwanza uwe bikraMimi sio muislam
Kama huna sifa tajwa ni vyema ukakaa kimya kuwaruhusu wenye vigezo kuchangia madaUmejaribu kupenyeza kwenye Yako?!
Asante kwa muongozoMwanaume una ajira na kipato kizuri unatafuta mwanamke tena social media?
Mwanaume bora hatafuti wanawake, mwanamke bora utokea kwa mwanaume bora sababu ya ubora wake, ukiona unatafuta wanawake jua unakasoro, uwezi kuwa na pesa na ajira ukatafuta wanawake tena social media. Jua watu uijue dunia na vinavyokuzunguka.
Mnazo pesa?Inabidi tuanzishe kampeni yetu wanaume iwe bikra unayo Mana ndio thamani ya mwanamke hana thamani nyingine ya kuwa mama wa watt wako vinginevyo awe jumba la starehe.
Mwili wa mwanamke unatakiwa uwe wakfu,yaani mtakatifu Mana kwanza ndiye anayekaa na mtt wewe mpaka anakuwa tumboni mwake Anazaliwa
Yaani mwanamke bila ya kuwa na mwili safi haifai basi kuolewa na wanaume tumelegea tunashindwa kuweka standards zetu Mana wao lazima wakuchangulie Kama una uhakika wa kuwapa mahitaji yao muhimu ndipo unapokubaliwa so why na sie tusione Kama miili yao ni safi.
Kuna watu wanaoa Malaya..
Yaani wanawake linapokuja suala linawabana wanataka sababu za kuwatetea Ila sie tunaambiwa tafuta pesa
Sawa bro ndio nipo natafutaMkuu ukipata zaidi ya mmoja nigusie na mimi😂
😂😂Aiseee sawaKama huna sifa tajwa ni vyema ukakaa kimya kuwaruhusu wenye vigezo kuchangia mada