Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Mnazo pesa?
Wanawake wazuri hata wasio na hizo bikira wanawataka au kuwaangalia mara mbili mkiwa kwenye bodaboda au mnatembea kwa miguu?
Bikra ipo unaolewa.ama.weka dau lako Kama wewe ni bikra basi utapata mnunuaji ,Ila usije ukaweka dau ambalo baba asingemmudu mama. Unaolewa na kuwekwa ndani unahudumiwa Kila kitu ndiyo malipo yako ukiwa bikra
 
Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :

  • awe Muslim
  • mweupe
  • 19 to 22 years
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
  • awe amelelewa kimaadili
  • awe tayari kuwa na watoto watatu
  • awe kabila lolote
  • awe mwembamba itapendeza
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
Wenye sifa hizo huwakuti kwenye mtandao ya kijamii.Huku wapo walioshindikana, ukichomeka huku wanachomeka kule huku kiuno kama feni
 
Bikra ipo unaolewa.ama.weka dau lako Kama wewe ni bikra basi utapata mnunuaji ,Ila usije ukaweka dau ambalo baba asingemmudu mama. Unaolewa na kuwekwa ndani unahudumiwa Kila kitu ndiyo malipo yako ukiwa bikra
Utajuaje kama ni bikira?
 
Back
Top Bottom