Si ununue incubator ya hiyo hela?
Si ununue incubator ya hiyo hela?Mtoto wa mwisho ni mdogo ila ilikua tafrani nadhani yeye katosheka.Mke wako anashida gani? Hawezi kukuzalia tena? Huna "MASURIA" hapo nyumbani kwako?
Ewala hiyo issue ya Zanzibar mbona kama imekaa poa sanaZnz,Tanga,mtwara,lindi,singida,kigoma na pwani kafanye tour Samia utawapata
Ndani ya miaka 3 mambo yakienda kama unavyotaka manzi anakuwa jumla ameingiza milioni 105. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.
VizuriYes matumizi ya mtoto ndani ya miaka yote mitatu uhakika. Bima ya mama na mtoto. Bima ya mama itaisha nikichukua mtoto.
Hakuna mapenzi!!! Huyo sio muislam. Kigezo cha dini ondoa.Vigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.
N.B. Mimi nimeoa na Nina watoto wa kike 4.
Nitafurahi mtoto akitoka dume ila hata akitoka vyovyote poa tu. Kama upo serious njoo pm.