Natafuta mwanamke wa kiislamu wa kuzaa nae

Natafuta mwanamke wa kiislamu wa kuzaa nae

Mara nyingi watoto wa nje wanakuwa wa kike. Mara chache sana wanakuja wa kiume. Chunguza.
Sa itakuaje mi hata wa kike sawa tu natamani mpaka kifo changu (Nikiishi) niwe na watoto angalau nane. Kwa sasa ndoani ninao 4. Plus mmoja ambae mama yake kanifungia vioo
 
Inawezekana huna uwezo wa kuzalisha wa kiume. Ridhika na ulicho nacho.
Kabla ya kuoa nilikua nae wa kiume mmoja ila mama yake kazingua. Dogo na Mimi ni photocopy
 
Sasa si umzalishe huyo mkeo watoto wa kutosha?
Anaonekana hatazaa tena maana mtoto wa mwisho ana mwaka na tulimpata Kwa masimango sana.

Niliwahi kuleta Uzi humu NANI ANAAMUA IDADI YA WATOTO KWENYE NDOA? .....Sijui huo Uzi upo wapi kama kuna mtaalamu wa kujua namna ya kuleta Uzi aniwekee nijikumbushe
 
Back
Top Bottom