Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna surrogate atakayekubali kwa chini ya million 30. Halafu huyo hana uzoefu na haya mambo. Mwanamke akitoa yai lake, hakupi mtoto hata kwa manati. Inatakiwa yai lisiwe lake na akijifungua mtoto hata asimuone huyo mtoto maana huwa inaleta uhasama kati ya huyo mama na mtotoNdani ya miaka 3 mambo yakienda kama unavyotaka manzi anakuwa jumla ameingiza milioni 10
30 Kwa Hali yangu ya sasa ni parefu sanaHakuna surrogate atakayekubali kwa chini ya million 30. Halafu huyo hana uzoefu na haya mambo. Mwanamke akitoa yai lake, hakupi mtoto hata kwa manati. Inatakiwa yai lisiwe lake na akijifungua mtoto hata asimuone huyo mtoto maana huwa inaleta uhasama kati ya huyo mama na mtoto
Mbona kuna watu wamezaa na mwanamke ametoa mtoto akae na baba?!Hakuna surrogate atakayekubali kwa chini ya million 30. Halafu huyo hana uzoefu na haya mambo. Mwanamke akitoa yai lake, hakupi mtoto hata kwa manati. Inatakiwa yai lisiwe lake na akijifungua mtoto hata asimuone huyo mtoto maana huwa inaleta uhasama kati ya huyo mama na mtoto
Anaonekana hatazaa tena maana mtoto wa mwisho ana mwaka na tulimpata Kwa masimango sana.
Niliwahi kuleta Uzi humu NANI ANAAMUA IDADI YA WATOTO KWENYE NDOA? .....Sijui huo Uzi upo wapi kama kuna mtaalamu wa kujua namna ya kuleta Uzi aniwekee nijikumbushe
Kwa hiyo umekuja kuniharibia? Anyway naomba na Uzi fulani Nani huamua idadi ya watoto kwenye ndoa? Nitashukuru.Maisha yangu baada ya miaka 37!
Habari. Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite, Mshana Jr n.k. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo; 1. Ninafanya kazi Serikalini mshahara take home ni 1.3 m, hapo nina mkopo wa miaka 5 NMB. 2. Kazi nimeanza tangu 2012...www.jamiiforums.com
Tuanze na huu kwanza
Ungeanza kujitafuta wewe kwanza kabla hujaongeza kiumbe kingine kitakachokuja kupata tabu sababu ya uzembe wa baba yake
Mbona wengi tu wamezalishwa na wameachwa?Aisee ni ngumu ninavyowajuwa wadada wakislamu weh umeingia chaka la kongo hivi kwanza utawaambia nini wazazi wake unamzalisha halafu unachukua mtoto walahi humpati tupo hapa ukipata nipe mrejesho
Hawezi kupata tabu uwekezaji Kwa watoto wangu ni first priorityMaisha yangu baada ya miaka 37!
Habari. Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite, Mshana Jr n.k. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo; 1. Ninafanya kazi Serikalini mshahara take home ni 1.3 m, hapo nina mkopo wa miaka 5 NMB. 2. Kazi nimeanza tangu 2012...www.jamiiforums.com
Tuanze na huu kwanza
Ungeanza kujitafuta wewe kwanza kabla hujaongeza kiumbe kingine kitakachokuja kupata tabu sababu ya uzembe wa baba yake
Kumbe anatuchezea tu! Hivi anadhani kuna mwanamke abebe mimba miezi 9 ajifungue kwa uchungu then amtoe mtoto kiulaini! Hakuna kitu kama hicho dunianiMaisha yangu baada ya miaka 37!
Habari. Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite, Mshana Jr n.k. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo; 1. Ninafanya kazi Serikalini mshahara take home ni 1.3 m, hapo nina mkopo wa miaka 5 NMB. 2. Kazi nimeanza tangu 2012...www.jamiiforums.com
Tuanze na huu kwanza
Ungeanza kujitafuta wewe kwanza kabla hujaongeza kiumbe kingine kitakachokuja kupata tabu sababu ya uzembe wa baba yake
Kwa hiyo umekuja kuniharibia? Anyway naomba na Uzi fulani Nani huamua idadi ya watoto kwenye ndoa? Nitashukuru.
Labda tukupe mimba wewe na pesa hio Kama itafaaVigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.
N.B. Mimi nimeoa na Nina watoto wa kike 4.
Nitafurahi mtoto akitoka dume ila hata akitoka vyovyote poa tu. Kama upo serious njoo pm.
Moja ya sababu ya kutokua na hela za kutosha ni hao watoto. Wanasoma shule nzuri na hawajawahi lala njaa. Nimeshajua siwezi kuwa na legacy ya maana ila nataka watoto wa kutosha na dedication ni COWARD OF THE COUNTRY.Hawezi kupata tabu uwekezaji Kwa watoto wangu ni first priority
FaizaFoxyVigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.
N.B. Mimi nimeoa na Nina watoto wa kike 4.
Nitafurahi mtoto akitoka dume ila hata akitoka vyovyote poa tu. Kama upo serious njoo pm.
Kumbe anatuchezea tu! Hivi anadhani kuna mwanamke abebe mimba miezi 9 ajifungue kwa uchungu then amtoe mtoto kiulaini! Hakuna kitu kama hicho duniani
😅😅😅😅Maisha yangu baada ya miaka 37!
Habari. Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite, Mshana Jr n.k. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo; 1. Ninafanya kazi Serikalini mshahara take home ni 1.3 m, hapo nina mkopo wa miaka 5 NMB. 2. Kazi nimeanza tangu 2012...www.jamiiforums.com
Tuanze na huu kwanza
Ungeanza kujitafuta wewe kwanza kabla hujaongeza kiumbe kingine kitakachokuja kupata tabu sababu ya uzembe wa baba yake