Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la heri...Okay upo vizuri. Najua hii issue imeambatana na changamoto kadhaa lakini kabla ya January-march 2025 nitakua na mtoto.
Na wewe ulie fufua huu Uzi wa miaka 37 poa tu hamna shida haya ni mapito tuKumbe ni pangu pakavu tia mchuzi halafu anajifaraghua atamlipa mwanamke wa kumzalia milioni 10 huku ana mkopo NMB wa miaka mitano hajamaliza [emoji2296][emoji119]
shida sio watu kuona shida ni wahusika baada ya kuona wanachukua uamzi gani?Mpaka muda huu dm ni bila bila au watu topic za huku wanachuliaje?
Kumbe ni pangu pakavu tia mchuzi halafu anajifaraghua atamlipa mwanamke wa kumzalia milioni 10 huku ana mkopo NMB wa miaka mitano hajamaliza [emoji2296][emoji119]
- Je sababu huwa nini hasa?.Mara nyingi watoto wa nje wanakuwa wa kike. Mara chache sana wanakuja wa kiume. Chunguza.
Kumbe ni pangu pakavu tia mchuzi halafu anajifaraghua atamlipa mwanamke wa kumzalia milioni 10 huku ana mkopo NMB wa miaka mitano hajamaliza [emoji2296][emoji119]
- Je sababu huwa nini hasa?.
Maybe ila maisha yangu ni kama nilivyoelezea Kwa kifupi Nina kipato cha mwisho wa mwezi tu. Familia kubwa no life nyumba ya kupanga Kila Kodi ikifika ni stress tupu acha tuHumu JF wasanii wengi ,Spin Doctors kibao ,Trollers wa kutosha ,humu ni kupita na kuyaacha unaweza ukawa unamuonea wivu TAJIRI wa JF kumbe yeye ndiyo wa kuonewa huruma.
[emoji23][emoji23]Si ununue incubator ya hiyo hela?
Mkuu, usije ukawa unatuhadaa tu hapa halafu ukaenda PM kimyakimya [emoji23]unatafuta kizalio eeh? haya kila la heri
[emoji23][emoji23]Haya, Faizafox useme tena hauna bahati!.
Ukome kuwaza kutuharibia mabinti wetu wazuri wa kiislam,Kwa sababu Mimi ni mkristo na mke wangu na watoto ni wakrito. Pia napenda life style ya wanawake wa kiislamu hawana baya. Mtoto akiwa wa kiume nitampa jina neutral kama vile Sulemani au Mussa akikua ataamua mwenyewe....