Natafuta mwanamke wa kiislamu wa kuzaa nae

Natafuta mwanamke wa kiislamu wa kuzaa nae

Kwa hiyo na wewe umekuja kuwaharibia wengine?
Mtu unanuka madeni,huna muelekeo na bado unataka kuongeza majukumu ambayo yatakushinda

Kwanza hakuna mwanamke timamu akuzalie badae akuuzie mtoto
Unajuaje Hali imebadilika hata kama ni kidogo. Nikifika miaka 40 nitaleta Uzi wa MAISHA YANGU BAADA YA MIAKA 40. Najua nitakua mbali ikiwa nitakua hai
 
Kumbe anatuchezea tu! Hivi anadhani kuna mwanamke abebe mimba miezi 9 ajifungue kwa uchungu then amtoe mtoto kiulaini! Hakuna kitu kama hicho duniani
Nawachezea kisa ? Sio kwamba mimi ni majalala kihivyo. Just kazi ninayofanya haiendani na maendeleo niliyonayo
 
Sasa si bora mtu ajue kabla kuliko kuzalisha mtoto wa watu akiwa hajui dhamira yako? Ningekua na pesa sa kutosha nongehama dini nioe wake 4 . Hata nikizipata Bado kuna tatizo kuhusu familia yangu ya sasa
Hupati, labda wasichana wa mtaani tu wenye tabia za mtaani na mtoto atarithi tabia hizo.
 
🤣🤣🤣 akili gani hizi aseee!!!

Pole yake mkeo
Kama ulikuwepo Yeye kaniambia "laana kubwa hapa duniani ni kuolewa na wewe" hapo anajifanya ananitania but najua anamaanisha. Sasa nikifanikiwa kujenga nyumba nitamkabidhi alee watoto Mimi nilee wangu huko nje ila nitakua baba wa usiku tu mchana kutwa najua ninachofanya.
 
Hii mission sioni nikitoboa yan Uzi una view 700+ na hakuna hata PM moja. Dah
 

Tuanze na huu kwanza

Ungeanza kujitafuta wewe kwanza kabla hujaongeza kiumbe kingine kitakachokuja kupata tabu sababu ya uzembe wa baba yake
Kumbe ni pangu pakavu tia mchuzi halafu anajifaraghua atamlipa mwanamke wa kumzalia milioni 10 huku ana mkopo NMB wa miaka mitano hajamaliza [emoji2296][emoji119]
 
Back
Top Bottom