Natafuta mwanamke wa kiislamu wa kuzaa nae

Natafuta mwanamke wa kiislamu wa kuzaa nae

Vigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.

N.B. Mimi nimeoa na Nina watoto wa kike 4.
Nitafurahi mtoto akitoka dume ila hata akitoka vyovyote poa tu. Kama upo serious njoo pm.
Kupata watoto wa Kike tu kwenye Ndoa, Angalia chanzo Cha tatizo Kwanini umepata watoto wa KIKE 4, Hebu wajuzi wa SoMo la Balojia mtusadie kwenye zile XY zenu za O level BIOLOGY. Maana unaweza pata watoto wengine wa kike kama hujafahamu sababu ya wewe kuwa na hao watoto
 
Vigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.

N.B. Mimi nimeoa na Nina watoto wa kike 4.
Nitafurahi mtoto akitoka dume ila hata akitoka vyovyote poa tu. Kama upo serious njoo pm.
Kwamba unawachukuliaje dada zetu? Waislam wanaume tunapaswa kuwa na ghera mno na kuwalinda dada zetu kama tulivyofundishwa. Tunajisahau sana. Imagine unamlea binti yako au dada yako katika maadili mazuri ya Uislam kisha kuna mtu tu wa hovyo anamtafuta amharibie makusudi.
 
Kupata watoto wa Kike tu kwenye Ndoa, Angalia chanzo Cha tatizo Kwanini umepata watoto wa KIKE 4, Hebu wajuzi wa SoMo la Balojia mtusadie kwenye zile XY zenu za O level BIOLOGY. Maana unaweza pata watoto wengine wa kike kama hujafahamu sababu ya wewe kuwa na hao watoto
Sawa. Hata hivyo motivation yangu ni idadi ya watoto kabla sijafa na sio jinsi. Ila kusema kweli natamani kuwa na mtoto wa kiume kwenye himaya yangu.
 
Kwamba unawachukuliaje dada zetu? Waislam wanaume tunapaswa kuwa na ghera mno na kuwalinda dada zetu kama tulivyofundishwa. Tunajisahau sana. Imagine unamlea binti yako au dada yako katika maadili mazuri ya Uislam kisha kuna mtu tu wa hovyo anamtafuta amharibie makusudi.
Nimechagua muislamu Kwa sababu maalum. Mimi sio mwislamu.
 
Vigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.

N.B. Mimi nimeoa na Nina watoto wa kike 4.
Nitafurahi mtoto akitoka dume ila hata akitoka vyovyote poa tu. Kama upo serious njoo pm.
Katafute makanyagio huko.

Hakuna mwanamke wa Kiislam wa sampuli hiyo.

Punguani wahed.
 
Vigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.

N.B. Mimi nimeoa na Nina watoto wa kike 4.
Nitafurahi mtoto akitoka dume ila hata akitoka vyovyote poa tu. Kama upo serious njoo pm.
Hii kwa sisi Waislam tunaita ni Zinna.
 
Back
Top Bottom