Operand
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 275
- 287
Habari JF
Nimeona vyema kuongea hapa kwa walio single basi tuelewane
Nina imani mke mwema anapatikana kokote tu. Haijalishi mtandaoni au mtaani, ile kasumba ya wanawake wa mtandaoni ni wasumbufu, sikubaliani nayo!
Mimi ni kijana wa miaka 25-30,
Nafanya kazi ya ulinzi tu, kwa hio kipato changu kiko fixed sana.
Laki 2 tu kwa mwezi
Mimi ni mrefu, mwembamba, sina kitambi wala sina mpango wa kuwa nacho
Nahitaji mwanamke atakaeweza kuwa nami tuendeleze maisha.
Mwanamke yeyote ambaye hataleta dharau juu ya kazi yangu wala mshahara
Mwanamke mvumilivu, mshauri mzuri na pia wife material.
Umri asizidi miaka 25
Mengineyo tutaelezana faragha
Tuwasiliane PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona vyema kuongea hapa kwa walio single basi tuelewane
Nina imani mke mwema anapatikana kokote tu. Haijalishi mtandaoni au mtaani, ile kasumba ya wanawake wa mtandaoni ni wasumbufu, sikubaliani nayo!
Mimi ni kijana wa miaka 25-30,
Nafanya kazi ya ulinzi tu, kwa hio kipato changu kiko fixed sana.
Laki 2 tu kwa mwezi
Mimi ni mrefu, mwembamba, sina kitambi wala sina mpango wa kuwa nacho
Nahitaji mwanamke atakaeweza kuwa nami tuendeleze maisha.
Mwanamke yeyote ambaye hataleta dharau juu ya kazi yangu wala mshahara
Mwanamke mvumilivu, mshauri mzuri na pia wife material.
Umri asizidi miaka 25
Mengineyo tutaelezana faragha
Tuwasiliane PM
Sent using Jamii Forums mobile app