Hiyo Afrika ilishasombwa na Mafuriko ya mwaka 1976Kiafrika mwanamke atakiwi kulianzisha
Acha kulala....pitia ID zote za kike zinazocomment na kulike.
Zitumie pm.
Zingatia neno belatedImeshapita mkuu
SawaZingatia neno belated
Naomba ufafanuzi wa mpangilio wa hizo nambaHahaha Namba D kwa mjini ngumu labda zile ambazo zimevushwa kutoka Zenji π€£π€£π€£
Napigilia msumariSasa umri wako 25-30 unamaanisha nini? Haujui mwaka uliozaliwa unakadiria?
Weka umri upate muolewaji.
Rusha ndoano kote mtaani na humu...wa humu kwa mshahara huo si rahisi kuwapata..hawa smartphones zao tu ndiyo mshahara huo.
Mwanaume kama unataka kuishi maisha ya amani oa mwanamke unayeweza kumcontrol. Akishakuwa na akili au mjanja kukuzidi basi atakusumbua saana.
Shurti la mwanamke awe submissive kwako...lakini usiitumie hiyo kama sababu ya kumnyanyasa, hapana.
Hahahah D number ni mwanamke mbichi kwa sasa ila A ni wale old school women!Naomba ufafanuzi wa mpangilio wa hizo namba
Kwahiyo hapo namba bora ni IPI?Hahahah D number ni mwanamke mbichi kwa sasa ila A ni wale old school women!
D kwa sasa ndio inatamba hapo unawakuta watoto wa 1998-2005 hapo!
Wale wa namba C tunazungumzia 1991-1997
B number ni watoto wa 1980-1990
A hao ndio wa 1979 kurudi nyuma huko.πππ
Kulingana na Chaguo la mtu ila mwanamke wa kutulia nae walau B au baadhi ya C number utaweza kuenjoy nao maisha. Walau wameshamaliza purukushani za usichana!Kwahiyo hapo namba bora ni IPI?
Haya bnaa.Kulingana na Chaguo la mtu ila mwanamke wa kutulia nae walau B au baadhi ya C number utaweza kuenjoy nao maisha. Walau wameshamaliza purukushani za usichana!
Sjakusoma mkuuWewe namba gani mpendwa maana naona mabaharia wanagawa namba.
Cc sifa njema
Mchuchu huyu hapa usilaze damu.
Achana na mambo yalopita mkuu ukanikosesha ndoa ...hujawai ganga yajayo wewe??
Pokea sim bas hapy..Achana na mambo yalopita mkuu ukanikosesha ndoa ...hujawai ganga yajayo wewe??
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mi ni mlinzi pia tatizo chura haipoo, ebu nifikirieni basi.Mlinzi mwanamke mwenye chura atapewa kipaumbele?
Mimi ni bikira, vipi nafaa?[emoji23][emoji23][emoji23]