Natafuta mwanamke wa kuanza nae maisha

nakaribisha Pm tu
tukielewana basi nitamlinda yeye na wanangu,
kuanzia sasa mpaka milele

Bila kuwa mnafiki, mwanamke atakaekufaa kwa uzoefu wangu humu utaambulia namba A ya mwisho Mwisho huko T 1979 AZT ila hawa namba D ni ngumu sana kwa kipato chako na title ya kazi.

Hawa T 1998 DST ngumu sana tuwaachie akina Daby na mwenzie RRONDO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napigilia msumari
 
Naomba ufafanuzi wa mpangilio wa hizo namba
Hahahah D number ni mwanamke mbichi kwa sasa ila A ni wale old school women!

D kwa sasa ndio inatamba hapo unawakuta watoto wa 1998-2005 hapo!

Wale wa namba C tunazungumzia 1991-1997

B number ni watoto wa 1980-1990

A hao ndio wa 1979 kurudi nyuma huko.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwahiyo hapo namba bora ni IPI?
 
Kwahiyo hapo namba bora ni IPI?
Kulingana na Chaguo la mtu ila mwanamke wa kutulia nae walau B au baadhi ya C number utaweza kuenjoy nao maisha. Walau wameshamaliza purukushani za usichana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…