Natafuta mwanamke wa kuenjoy maisha

Natafuta mwanamke wa kuenjoy maisha

Mkuu jaribu kutumia usafiri wa dala dala utwapata wengi tu tena wakali.Tatizo mnakaa kutumia vi baby walker vyenu hawa kuku wa kienyeji huwezi kuwapata labda uende Kidimbwi au Juliana!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Yes mkuu, hapo umeanza kunielewa sasa. Sihitaji uhusiano serious au permanent maana huo ninao, ila tu mtu ambae nitakua napunguziana nae upweke na mihemko ya hapa na pale. Nothing serious.
Costs za hayo mambo nitagharamia, nisichotaka ni zile gharama za kila siku mtu anakuomba hela ya kula, sijui ya gesi, mara ya kusuka
Mimi nakubali kufanya hivo unavotaka,
Lakini kama ni kuenjoy tu naruhusiwa kukupenda na kukuonea wivu?
Maana nikishaamua kufanya yote unavotaka lazima karoho kataniuma nikikuona na mtu mwingine.
 
Back
Top Bottom