TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,199
- 3,307
- Thread starter
- #321
Unaomba hadi hela ya pedi?We hatutawezana....nadanga ndio!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaomba hadi hela ya pedi?We hatutawezana....nadanga ndio!
😂😂😂Asalaale🤣 mtu unaweza kosa bahati hivi hivi kuhisiwa mie ndume😒
Kamata bombadia kimbia Mwanza kapige takko zako laki mbili na ishirini na tatu rudi mjini maisha yaendelee....au mtumie nauli ajeAcha kuni enjoy mkuu
Kudanga na malapa wapi na wapi?Heheheiyaaa....
Umeona eh..hakuendi kbsKudanga na malapa wapi na wapi?
Bora ungekua na saa sita.
Mwisho wa siku anakopa hela anakopa na mbunye....Anaonekana hana hela mwanaume mwenye hela wala hakuna kinachomsumbua...hakuna nasema...wanajiletaga tu ..ukiona post za aina hii jua tia maji tia maji tu kama sisi!🤭
Bombadia go and return mia nne. Nitaenda mara ngapi? Na kila baada ya siku 1 tu kichupa kinajaa.Kamata bombadia kimbia Mwanza kapige takko zako laki mbili na ishirini na tatu rudi mjini maisha yaendelee....au mtumie nauli aje
Hadi ya sindano mie naomba .ss nafanyeje mkuu? Naomba had ya chumviiUnaomba hadi hela ya pedi?
Waachie wadogo zako tu.Umeona eh..hakuendi kbs
Na mm nitasurvive kiaje mzee baba? Tunabanana wote hapa hapaaa....Waachie wadogo zako tu.
Unakula nini hicho cha kukujaza kila siku bwana shemejiBombadia go and return mia nne. Nitaenda mara ngapi? Na kila baada ya siku 1 tu kichupa kinajaa.
Nimekuelewa ghaflaSiwezi kumkopa mwanamke hela wala mbunye. Kulipia starehe sio ishu kwangu. Cha muhimu maelewano
Tafuta kazi.... Au jikite kwenye kuwa dalali wa wadogo zako. Utakuja kuumiza watu usoni bure na hayo malapa.Na mm nitasurvive kiaje mzee baba? Tunabanana wote hapa hapaaa....
Nakula vitu natural..... Matunda kwa wingi, korosho. Chips mara ya mwisho nimekula ilikua mwaka 2010.Unakula nini hicho cha kukujaza kila siku bwana shemeji
Karibu sana mkuuNimekuelewa ghafla
Okay shemeji, naomba uninunulie k vant kubwa, nakutumia namba... ahsante sana.Nakula vitu natural..... Matunda kwa wingi, korosho. Chips mara ya mwisho nimekula ilikua mwaka 2010.
Leta namba ya M Pesa PM nikusort chap!Okay shemeji, naomba uninunulie k vant kubwa, nakutumia namba... ahsante sana.
Mimi nakubali kufanya hivo unavotaka,Yes mkuu, hapo umeanza kunielewa sasa. Sihitaji uhusiano serious au permanent maana huo ninao, ila tu mtu ambae nitakua napunguziana nae upweke na mihemko ya hapa na pale. Nothing serious.
Costs za hayo mambo nitagharamia, nisichotaka ni zile gharama za kila siku mtu anakuomba hela ya kula, sijui ya gesi, mara ya kusuka