TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,199
- 3,307
- Thread starter
-
- #401
Ili nijihakikishie kuwa hana maambukizi ya miwaya mkuu, tujihakikishie kuwa wote tuko safe.Yeah, unadhani huyo demu unataka kumpima miwaya ili iweje?
Hahahaaaa mzee wa assistHapana kuna yule jamaa wa humu ulini-alert kuwa anakopa hela anakopa na mbunye....ndio nlikua narefer
Hahahahaha!! umenikumbusha mbali mkuu.Hahahaaaa mzee wa assist
Baada ya kumpima yupo safe uta anza kumtreat na kufatilia nyendo zake tayari huo ni wivuIli nijihakikishie kuwa hana maambukizi ya miwaya mkuu, tujihakikishie kuwa wote tuko safe.
What does ur question have anything to do with makuzi kutufanya tuwe na wivu?
Hahahahaha....! I got ur point. But it will be purely for protecting my health. Or to simplify things, i will just make sure that i test her for HIV every 3 months.Baada ya kumpima yupo safe uta anza kumtreat na kufatilia nyendo zake tayari huo ni wivu
Ukipata wengi nigawie mmoja wanaume ni kusaidianaHahahahaha....! I got ur point. But it will be purely for protecting my health. Or to simplify things, i will just make sure that i test her for HIV every 3 months.
Ye mwenyewe ukute analiwa uko km unavyotafuta ww wa kula uku. Pole sn.Acha udwanzi mkuu; Nikuunganishe ukale kitumbua changu?
Fair game, so long as i dont find out.Ye mwenyewe ukute analiwa uko km unavyotafuta ww wa kula uku. Pole sn.
Poa poa mkuu, haina kwereUkipata wengi nigawie mmoja wanaume ni kusaidiana
Kkkkkk kumbe inawezekana eeeUkipata wengi nigawie mmoja wanaume ni kusaidiana
Hakuna kinachoshindikana mkuuKkkkkk kumbe inawezekana eee
Njoo tuenjoy maisha mdada, achana na stress za mapenzi
Kweli lakinNjoo tuenjoy maisha mdada, achana na stress za mapenzi
Nikucheki?
Shemela mbona haujatumia id yako ya siku zote?Hahahahaha!! umenikumbusha mbali mkuu.
Shemela mbona haujatumia id yako ya siku zote?
Ni chek PM nikupe mmojaSitaki kwenda huko wanakojiuza kwa sababu hawana baadhi ya qualities ambazo nahitaji kama vile exposure na uelewa mpana wa masuala mbalimbali. Pia, sihitaji mwanamke anaejiuza.
Nadhani atakua bado....Hivi kweli hajapata bado?