tapemeasure
Senior Member
- Jan 15, 2020
- 160
- 106
Baba Kabla ya yote tambua ndoa ni taasisi na sio kikundi cha watu wa wili.Awe na sifa zifuatazo
Sifa zangu
- Awe na miaka kati ya 25 mpaka 30
- Awe Mkristo
- Awe tayari kupima hiv
- Awe anaishi dar es salaam
- Elimu bachelor ya kozi yeyote ile
- Nina miaka 33
- Kazi; duka kariakoo
- Sina mtoto
Kwan msabato kakuambiaBaba Kabla ya yote tambua ndoa ni taasisi na sio kikundi cha watu wa wili.
Kunakitabu cha wasabato kinaitwa NYUZI YA KAMBA TATU.
Kitakupa mwongozo mzuri wa kumpata mtu hatua za kuwashirikisha wazazi mpaka kufika kuowana.
Jaman si kasema mpare auMmekutana na muhaya mseminali
Kazi ipo
Kwanini uchague njia kama hii,huko ulipo kwenye mazingira Yako hakuna wanawake..kwanini uje humu mitandaoni kutafuta mtu usiemjua awe mwenzi wako wa maisha,Nimekuambia usinlalamikie mimi watumie mod sms wafute jukwaa la love connect
Ni njia niliyochagua sasa iweje wewe uumie
Anataka awe anaipiga kila siku si itakuwa jirani naye😁😁😁Kwa nini kimara?
Nimekumbuka si upo kimara wwAnataka awe anaipiga kila siku si itakuwa jirani naye😁😁😁
Akhuuu sipo Kimara na sina elimu, na kasema hataki siye wa la 7 B😁😁Nimekumbuka si upo kimara ww
NaonaAkhuuu sipo Kimara na sina elimu, na kasema hataki siye wa la 7 B😁😁
Sisi tusio na elimu hatuna haki🥲🥲Naona
MayatimaSisi tusio na elimu hatuna haki🥲🥲
Ili mradi uwekwe sio! Kweli watoto wa 2007 ni shida.Ilimradi lengo limefikiwa🙌🏾
Duuh 2007??Ili mradi uwekwe sio! Kweli watoto wa 2007 ni shida.
Mbezi umehama lini mkuu🤣sie wa mikoani hamtutaki
Vibinti vyetu hivi, tayari vimeiva kuliwa...Duuh 2007??